kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Najua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani.
Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale South Afrika.
Sema sasa hivi hakamati simu zangu ila sijutii najua anaogopa nitamshitaki maana mimi ndie nilimpa wazo la kuunda magari ya tesla
Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale South Afrika.
Sema sasa hivi hakamati simu zangu ila sijutii najua anaogopa nitamshitaki maana mimi ndie nilimpa wazo la kuunda magari ya tesla