Nimesoma na Elon Musk

Nimesoma na Elon Musk

Ndio maana ulitapeliwa na rangi yako kama idd amin ukiyoipata ukiuza ubuyu Dodoma Juani.
 
Najua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani.


Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale South Afrika.

Sema sasa hivi hakamati simu zangu ila sijutii najua anaogopa nitamshitaki maana mimi ndie nilimpa wazo la kuunda magari ya tesla
Diarra yupo bloh?
 
Back
Top Bottom