Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diarra yupo bloh?Najua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani.
Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale South Afrika.
Sema sasa hivi hakamati simu zangu ila sijutii najua anaogopa nitamshitaki maana mimi ndie nilimpa wazo la kuunda magari ya tesla