kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Nimebahatika kuchoma bangi Ila niwe mkweli ni sawa na kuvuta tu .Atashikaje simu yako na unayo mwenyewe?
Unatuchelesha sana kuleta maendeleo
Nikuulize tu msomi.
Hivi wale askari waochoma bangi baada ya kufyeka mashamba ule moshi ni tofauti na kuvuta ?
Nimekuelwa afande. Umeeleza uzoefu binafsi 🤣🤣🤣Nimebahatika kuchoma bangi Ila niwe mkweli ni sawa na kuvuta tu .
Mara ya mwisho baada ya uchomaji tupo kwenye ndinga tunarudi makao si jamaa mmoja aliuekuwepo kwa mujibu wa Sheria ya uchomaji akiwa anawakilisha mahakama asianze kuniuliza hivi kweli nchi hii ni Tanzania Sasa nikawa nashindwa nijibu nini alafu ukicheki ni boss kwangu .
Nikawa nalamba midomo sauti haitoki nisije kujibu vibaya nikamuudhi boss Ila baada ya kukaa pekee yangu nikakumbuka bangi tuliyochoma ilimuathiri yule bwana .
Inakusaidia nini wakati wewe ni mweupe kiuchumi?Najua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani.
Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale South Afrika.
Sema sasa hivi hakamati simu zangu ila sijutii najua anaogopa nitamshitaki maana mimi ndie nilimpa wazo la kuunda magari ya tesla
Wee umekunywa chai na mchuziNajua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani.
Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale South Afrika.
Sema sasa hivi hakamati simu zangu ila sijutii najua anaogopa nitamshitaki maana mimi ndie nilimpa wazo la kuunda magari ya tesla
Kwahiyo mwanangu umetuchukuliaje sisi??Najua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani.
Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale South Afrika.
Sema sasa hivi hakamati simu zangu ila sijutii najua anaogopa nitamshitaki maana mimi ndie nilimpa wazo la kuunda magari ya tesla