Nimesoma vitabu 655 na haya ni mapinduzi makubwa saba yaliyotokea maishani mwangu

Samahani Dr Makirita, je unaweza kutupatia status yako financially muda huu baada ya kusoma vitabu, je source ya kiuchumi kwako inatokana na kuuza vitabu, kama Kiyosaki? Naendelea kusoma nyuzi mwishoni nitakujibu bango lako
Hasty Generalization Fallacy, kushindwa wewe haimaanishi kila mtu atashindwa mkuu.
Kubali wewe umeshindwa, lakini usifanye hiyo kuwa sheria ya dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MkuuMakirita,
Nimefuatilia vitabu vyako vingi ni vyepesi vyepesi! sijajua lengo lako la kusoma vitabu ni nini?
Naona kama unasoma "kibiashara hivi".
Sidhani kama lengo lako ni kupata maarifa, au deep insight ya mambo.
Mimi ni msomaji sana wa vitabu, lakini hapo kwenye List yako umejaza "garbage" yaani nakuona kama umepoteza muda mwingi kusoma vitabu visivyo na maana, angalau kidogo vya Ben Carson au Kiyosaki vimeweza kukuongoza kusoma vitabu vingine.

Dunia ina maarifa mengi na uongo mwingi sana. Kuna vitabu mkuu hata uwe na speed ya kusoma pages, unaweza ukamaliza mwaka hujakielewa vizuri. Ila nakupa pongezi muelekeo wako ni mzuri,

Usomaji wangu mimi nimetofautiana na wewe.
Mimi kabla sijanunua au kusoma kitabu lazima muandishi anihakikishie Ukweli wa alichokiandika, kama ni utafiti au sources za alichokiandika, huwa simezi tu mawazo ya mtu labda kama ana experience na alichokiandika. Mfano uandishi wako unatokana na ulichokisoma kwa mwingine, kwa hiyo ni kama huna jipya. Labda uamue kuwa kama Eric Shigongo, yaani ana translate story anauza kitabu.
Kitabu chochote ambacho ni fiction huwa hakina nafasi kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera sana kwa kusoma hivyo vitabu vyote kwa muda mfupi. Naona umepitia na vitabu vya jim rohn ulipata baati ya kusoma kitabu chake cha Cultivating an Unshakable Character ?

I am a fan wa Jim Rhon kama unasoft copy ya hiki kitabu tafadhali share hapa!
 
Wabongo kusoma vitabu ni sawa na kumkazimisha punda anywe maji
 
Swali Mzuri saana lakini pia anaamini atamfikia bakharesa ila sijajua vitabu anavyosoma vingine vinausiana na usikute akaja kua Merlin wa baadae
Katika kusoma kuanzia mwanzo hadi mwisho sijaona nafasi ya Mungu katika maisha yako..kwaio wewe jamaa Mungu unamuweka katika nafasi ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa sielewi labda sio fani yangu, unakaaje mtu umetuliaaaa unasoma kitabu na unaenjoi...
Naona kama sawa na kuangalia rangi mbichi ukitani ukutani.
 
Motivational speakers, Wauza products za alovera na general D, Manabii na Mitume, Wachungaji wa Makanisa ya masafa ya FM/Mafupi (Makanisa ya Udaku), waganga wa kienyeji, hawa wote mimi huwa ninawaweka Group moja tu.
Na wacheza forex je ? hahahaha
 
Sina uhakika kama 7 habits of highly effective people ama Mastery....unaweza ukasoma kwa wiki mbili naukavimaliza....lakini cha pili ni kwamba issue sio kusoma tu kama gazeti issue ni kusoma na kujifunza na ikiwezekana kukumbuka.....itakuwa na maana gani kama tukikuuliza kitabu no flani kilisema nini ukawa hukumbuki......Tatu umefocus kwenye vitabu vya aina isiyozidi 4, vitabu vingi unavyosoma ni vya personal development, investment na politics kidogo....vitabu vya mambo mengine kama afya, biographies za watu sijaviona....wakati afya ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya mtu.....ni muhimu kuchanganya vitabu vya aina nyingi ili kupata different perspectives.....kujua field nyingine wanawaza nini n.k
 
Mkuu kusoma ni step moja maamuzi yakufanya kitu ni step nyingine
 
Nimekuelewa sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…