Nimestaajabu, Minyoo katika nyama ya kuku

Ai a hii ya minyoo huwa wagumu sana kufa, usiombe akaingia tumboni, kumtoa shghuli yake pevu. Ndo maana mm sipendi kabisa nyama ya kuku
 
Ai a hii ya minyoo huwa wagumu sana kufa, usiombe akaingia tumboni, kumtoa shghuli yake pevu. Ndo maana mm sipendi kabisa nyama ya kuku

kwani akiingia tumboni hata kwa bahati mbaya si atatoka kwa njia ya haja kubwa au kitaalam inakuwaje? kuna sehemu huwa anajibanza wakati mfumo wa chakula ukiendelea?
 
Kimsingi kitoweo chochote,iwe nyama ya kuku,ng'ombe,mbuzi n.k hakikisha mnyama aliyechinjwa/uliyemchinja si mwathirika sana wa magonjwa,vinginevyo tegemea lolote kutokea,na hiyo ndio sunna ya kuchinja mnyama sheikh iliyoamlishwa na Allah...
Sio usubirie kuku kashikwa mdondo usiopona ndio ukamchinje,hutopata ladha halisi...
 
Umesema minyoo afu unatuwekea picha ya ya mnyoo ikusanye afu upige picha sehemu hiyohiyo ulopigia ya mwanzo.
 
Hivi mleta mada wahenga waliposema "Ukimchunguza sana bata hutomla" hukuwaelewa eeeeh?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]minyoo watu hiyoo
 
Minyoo ndan ya nyama inakufa kama itakutana na joto la zaidi ya nyuzi 74..

Kupika haraka haraka kwa pupa na kumtanguliza njaa mbele hautauwa minyoo..

Nyama hasa ambazo viumbe wake huifadhi minyoo mingi sharti ipikwe vizuri na kwa muda mrefu
 
Huyo kuku alikuwa anapenda kutafuta chakula kwenye banda la nguruwe pia nguruwe akichinjwa alikuwa anaenda kunywa ile damu
 
mkuu mnyoo wa aina hii huwa inapatikana katika utumbo wa kuku ,, je hyo nyama yako ulipika na utumbo pamoja ,,, minyoo kama hii huwezi kuikuta kwenye stake ni kwenye utumbo tu basi,,,
Dah!
 
Atakuwa alikula mboga zisizochemshwa hasa kabeji huyo
 
Roundworms are the most common type of worm to infest a chicken. ... Very occasionally in severe cases, a worm can migrate to the hens' oviduct and a worm will be found inside an egg – a decidedly unsavory experience! Note: As unappealing as it may look, it is not a health threat to humans.

Hiyo sentensi ya mwisho imeeleweka sana kuwa hao minyoo hawana madhara kwa binadamu, pia baadhi ya sehemu nimeona wanamadhara kwa bata mzinga....so mkuu hata ungemla bado ungekuwa salama, hata hivyo pia sisi binadamu tunaishi naparasites/bacteria hasa tunapougua...na bado madhara ya kawaida, ni kwa vile umemuona kwa macho, ukipewa darubini uone tu hata vijidudu vya mafua mwilini mwako unaweza kujikataa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…