The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
Nimeweka kijiti cha kuzuia mimba, nikaambiwa ntakutana kimwili na mpenzi wangu baada ya 24 hrs. nikafuata ushauri huo. lakini baada ya mwezi na nusu nikagundua na mimba, ikabidi niende private hospital kupata ushauri, dakitari akasema hukutakiwa kukaa 24 hrs, bali ulitakiwa ukae 10 days, bila kukutana kimwili, kwa sababu nilikuwa sijajiaanda na ujio wa huyu mtoto ikabidi mimba itolewe.
Lakini nikamuuliza dakitari, vipi kuhusu hii njiti, nayo nikaitoe au lah, akasema haina shida yenyewe itaendelea kufanya kazi hivyo usiitoe, nikaiacha kwa kufuata ushauri huo, cha kushangaza baada ya mwezi toka nifanye dhambi ya utoaji, nimejigundua na mimba tena...nimestaajabu sana.
Nauliza madakitari, shida hasa ni nini hapa, njiti haina kazi, haikufanya kazi au ushauri niliopata haukuwa sahihi, maana mpaka sasa njiti bado ninayo na sijaitoa....
Lakini nikamuuliza dakitari, vipi kuhusu hii njiti, nayo nikaitoe au lah, akasema haina shida yenyewe itaendelea kufanya kazi hivyo usiitoe, nikaiacha kwa kufuata ushauri huo, cha kushangaza baada ya mwezi toka nifanye dhambi ya utoaji, nimejigundua na mimba tena...nimestaajabu sana.
Nauliza madakitari, shida hasa ni nini hapa, njiti haina kazi, haikufanya kazi au ushauri niliopata haukuwa sahihi, maana mpaka sasa njiti bado ninayo na sijaitoa....