Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Nafuatitilia kipindi Cha Wasafi Media, kinachorudhwa LIVE muda huu, ambacho kimepewa jina la HAUJUI, nikishuhudia mtangazaji wa Wasafi Media, Oscar Oscar, akimuuliza mtangazaji mwenzake anayeitwa Adela, akimuuliza awe mkweli na amwambie katika maisha yake , anakumbuka ni kiasi Gani alichowahi kuhongwa kikubwa na anakumbuka ni kiasi Gani??
Msichana huyo bila aibu Wala kusita amejibu kuwa aliwahi hongwa na Bwana tu aliyekuwa akitembea naye shilingi milioni 60 Kwa mpigo!
Nimestushwa sana na huo ushuhuda aliotoa huyo mdada, ingawa hakumtaja huyo mtu wake "kibopa bilionea" lakini Mimi naamini kuwa atakuwa mwanasiasa, kutoka Sisiem!
Kwa kuwa pia naamini kuwa huyo "kipopa bilionea" atakuwa amefanya wizi wa Kula Kwa urefu wa kamba yake!
Kwa kuwa Rais Samia alishawapa "green light" hao wateule wake, wale Kwa urefu wa kamba zao, Kwa kuwa siamini kama atakuwepo mfanyibiashara yoyote atakayekuwa na "wehu" huo wa kuhonga pesa nyingi kiasi hicho, tena akiwa ni kimada tuuu!
Kwa kuwa najua Kwa mfanyibiashara yeyote wa nchi hii hata akiwa "level" za akina Bakheresa, hawezi kufanya uendawazimu wa aina hiyo, ukizingatia mlolongo wa makodi ya TRA yanayomwandama Kila kona
Msichana huyo bila aibu Wala kusita amejibu kuwa aliwahi hongwa na Bwana tu aliyekuwa akitembea naye shilingi milioni 60 Kwa mpigo!
Nimestushwa sana na huo ushuhuda aliotoa huyo mdada, ingawa hakumtaja huyo mtu wake "kibopa bilionea" lakini Mimi naamini kuwa atakuwa mwanasiasa, kutoka Sisiem!
Kwa kuwa pia naamini kuwa huyo "kipopa bilionea" atakuwa amefanya wizi wa Kula Kwa urefu wa kamba yake!
Kwa kuwa Rais Samia alishawapa "green light" hao wateule wake, wale Kwa urefu wa kamba zao, Kwa kuwa siamini kama atakuwepo mfanyibiashara yoyote atakayekuwa na "wehu" huo wa kuhonga pesa nyingi kiasi hicho, tena akiwa ni kimada tuuu!
Kwa kuwa najua Kwa mfanyibiashara yeyote wa nchi hii hata akiwa "level" za akina Bakheresa, hawezi kufanya uendawazimu wa aina hiyo, ukizingatia mlolongo wa makodi ya TRA yanayomwandama Kila kona