Nimestushwa sana kusikia mtangazaji Wasafi Media, anayeitwa Adela, akijimwambafai kuwa amewahi kuhongwa milioni 60 na mpenzi wake!

Mtu kachota pesa za maskini anakwenda kuhongea wanawake, CCM iwajibike kwa hili.
 
Sasa unashtuka nini hapo ?....
 
Kama kama kama jaba la maji nani wa kumpa mil. 60.

Liongo hilo demu, anajipandisha thamani kwa wanaomsikiiza na nia ya kumtaka.
 
Niliwahi kumDM hajanijibu mpaka leo. Labda nimuulize nitume milioni 60 kwenye akaunti gani
 
Shenz type huyo mwanaume anaye honga million 60 ndio anapandisha bei za mbususu.
Hapa duniani kwanza mbususu haitakiwi kuzidi buku jero. Ujinga wetu tuu wanaume wanaosaliti kambi ndio wanafanya zipande bei
Wana wasaliti sana, wanafanya maisha yetu wengine yawe magumu kwenye soko
 
Shenz type huyo mwanaume anaye honga million 60 ndio anapandisha bei za mbususu.
Hapa duniani kwanza mbususu haitakiwi kuzidi buku jero. Ujinga wetu tuu wanaume wanaosaliti kambi ndio wanafanya zipande bei
Jamani si pesa zao, waacheni wafanye watakavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…