NG'HOMELE
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 470
- 147
Wana jf, mimi nimehitimu degree ya project planning, management & comunity development mwaka 2011 lakn mpaka leo sijafanikiwa kupata ajira ama serikalini au kwenye mashirika binafsi zaidi nimejiajili mwenyewe na shughuli zangu binafsi lakn nataman sana siku moja nipate ajira serikalini kwani kuna security. Naomba msada wenu wa kimawazo kwani nataka mwaka huu nikasome PGDE ya open university of Tanzania, swali langu ni kwamba, pindi nimalizapo masomo yangu naweza pata ajira ya moja kwa moja kama wale wenye degree, diploma, na certificate? Pili, je hawa OUT hawana ubabaishaji mana nasikia kuna watu wanasomea kazi za watu kwa kubadilisha jina kwenye centre husika pindi zipokewapo toka posta? tatu, je muda wa masomo ni mwaka mmoja au miwili? je huwa kuna field practical? nne, je ni kweli kuwa gharama zao ni zaidi ya mil. 2.5? tano viwango vya mshahara vya mshahara na wale wenye degree iko sawa na wale wenye PGDE? Ahsanteni na Mungu awabariki