Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamu wa yai huo utakuwa.Nilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
Pole sana wewe ndio unajua leo wenzio mende tunakula tokea kitambo sana. halafu uyo mende cha mtoto siku ukila jongoo ukameza ule mchuzi wake utasimulia mpaka wajukuu wako kwa utamu wake.Nilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
Mazombi ya bongoland yana survive kwa kula mende.Nilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
Nikimla kwa kudhamiria nitatapika ila nikimla kwa bahati mbaya haina shidaPole sana wewe ndio unajua leo wenzio mende tunakula tokea kitambo sana. halafu uyo mende cha mtoto siku ukila jongoo ukameza ule mchuzi wake utasimulia mpaka wajukuu wako kwa utamu wake.
Mtu akisha kula nyama ya mende, hawezi kuacha. Endelea tu kula mijimendeNilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
Mtu akisha kula nyama ya mende, hawezi kuacha. Endelea tu kula mijimende
Kilichoniuma n umetafuna mende mjamzito
Jiandae kuona mende wanaweka makazi tumboni kwako mzee babaNilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
Dah....kifo cha mende hiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]Nilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.