Nimetafuna mende mwenye yai nyuma kwenye maharage nimependa ladha yake

Nimetafuna mende mwenye yai nyuma kwenye maharage nimependa ladha yake

Mende ni mboga ya kawaida sana, hasa wale wa kule kwenye vijumba vya kumalizia haja
 
Nilijua nitatapika ila kiukweli nimeinjoi Sana nimefurahishwa na ladha yake japo nilimtafuna kwa bahati mbaya nimeridhika na ladha yake.
Kula Mende sio shida,swala ni kuwa huyo Mende kabla ya kumla makazi yake yalikuwa wapi...!!
 
Unajua mende mwekundu anafanana na maharage kwahiyo sijilaumu na maadamu roho imerudhika basi kiroho Safi.

@Miss Reneee Alafu unasemaga mim mwehu jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hunipendi tu
 
Back
Top Bottom