Nimetafuta wine iitwayo " Pinot Noir" Dar nzima nimekosa.

Nimetafuta wine iitwayo " Pinot Noir" Dar nzima nimekosa.

Dar kuna tabu moja.. kuna vitu vilipaswa patikana hapa kwa wepesi sana.. Ila sasa sijui tabu Nini ... Kma huna pesa ya gharama ... Utaishia mikononi mwa local +++ hutaamini
. Kila kitu hapa kimcwekwa kma ufahari na si huduma[emoji3][emoji3] dalili za ;- ushamba..ulimbukeni... Ufahari... Hata huwa sielewi ... Yaan wine moaka uombe msaada huku..,[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Back
Top Bottom