Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilijaribu kwenda haile Sellasie Road kuna duka kubwa la vinywaji+wine pale ulicheck mitaa ileNani ana access na mahali ninapo weza kuipata?
I am thinking of flying to Dizonga in case kama nitaendelea kuikosa.
With much thanks in advance
Funga safari uifuate kule inakotengenezwa.Nani ana access na mahali ninapo weza kuipata?
I am thinking of flying to Dizonga in case kama nitaendelea kuikosa.
With much thanks in advance
Inawezekana tunayo ila turahihishie kwa kuweka picha ya lebo, naamini utaipata.Nani ana access na mahali ninapo weza kuipata?
I am thinking of flying to Dizonga in case kama nitaendelea kuikosa.
With much thanks in advance
Kidogo ningekuita uje umuelekezeIlijaribu kwenda haile Sellasie Road kuna duka kubwa la vinywaji+wine pale ulicheck mitaa ile
Ova
HahaaaaaUsije kuwa umemsikia mtu anaongea we ukatatuletea mada hapa.
Majizi ya serikali ya mama sasa hivi pesa zinawawasha kwa wingi wanavyo kwapua ,,,hivyo wanatafuta visivyo patikana ilikutapanya pesa wanazo chota kifisadi.Kunywa hata altare wine
Usije kuwa umemsikia mtu anaongea we ukatatuletea mada hapa.