mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hivi karibuni ntaacha pombe rasmiKidogo ningekuita uje umuelekeze
[emoji1]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi karibuni ntaacha pombe rasmiKidogo ningekuita uje umuelekeze
Nani ana access na mahali ninapo weza kuipata?
I am thinking of flying to Dizonga in case kama nitaendelea kuikosa.
With much thanks in advance
Umeenda store za Masaki..!?Nani ana access na mahali ninapo weza kuipata?
I am thinking of flying to Dizonga in case kama nitaendelea kuikosa.
With much thanks in advance
Fanya hivi, kama vile unavyojisikia kula kuku wa kienyeji na ukaenda chako ni chako Dodoma, panda ndege zifuate hizo wine huko zinakopatikana..!!! Sisi wenyewe tukienda Bharain hatuzipati serengeti lager ndogo..!!! Tunakunywa tu pine za heinekenWine nyingi bongo sana sana ni za kutoka hapo spain labda na south, ndo maana ukiwa na wine zako ulizokuwa unapiga majuu ukija bongo huzipati. Mimi kuna wine yangu nilikuwa nainywa nilipokuwa majuu, hata kufikiria tu kuipata hapa bongolala ni shida, labda kama kuagiza online.
Asante sana kaka Level 8 ndio ipo wapi?Nenda Level 8 utaipata. Kuna aina tatu za Pinot utazipata pale, Matua hii nafikiri ni ya New Zealand (Tshs. 165k) pia Patriache ilikuwa around Tshs 80k pamoja na Shannon hii kama sikosei ilikuwa 120k au 160k.
Aisee! Kempiski.Asante sana kaka Level 8 ndio ipo wapi?
Hiyo wine haina jina mkuu?Wine nyingi bongo sana sana ni za kutoka hapo spain labda na south, ndo maana ukiwa na wine zako ulizokuwa unapiga majuu ukija bongo huzipati. Mimi kuna wine yangu nilikuwa nainywa nilipokuwa majuu, hata kufikiria tu kuipata hapa bongolala ni shida, labda kama kuagiza online.
Imefunguliwa imekuwa moto sanaOya ile pub ya Mikumi isha funguliwa?
Halafu ndio anasema ametafuta dar nzimaAisee! Kempiski.
Mikumi kunawaka moto balaaa. Kuna Galimbo nearby ni fireOya ile pub ya Mikumi isha funguliwa?
Dizonga kufanya nini mzee wakati Slipway Masaki zimejaa kibao wiki iliyopita nimeziona....Nani ana access na mahali ninapo weza kuipata?
I am thinking of flying to Dizonga in case kama nitaendelea kuikosa.
With much thanks in advance
Kasema dar nzima hakuna, sasa hiyo Haile Selassie road ya mkoa gani aende?Ilijaribu kwenda haile Sellasie Road kuna duka kubwa la vinywaji+wine pale ulicheck mitaa ile
Ova