Nimetafuta wine iitwayo " Pinot Noir" Dar nzima nimekosa.

Dar kuna tabu moja.. kuna vitu vilipaswa patikana hapa kwa wepesi sana.. Ila sasa sijui tabu Nini ... Kma huna pesa ya gharama ... Utaishia mikononi mwa local +++ hutaamini
. Kila kitu hapa kimcwekwa kma ufahari na si huduma[emoji3][emoji3] dalili za ;- ushamba..ulimbukeni... Ufahari... Hata huwa sielewi ... Yaan wine moaka uombe msaada huku..,[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…