Huyo Mwanamke ana TV ndani ya mavazi?Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'mbe hamming mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu?
Ama hakika wanyantuzu wasukuma mbona mnatukomoa?ng'ombe hamsini na mimi wapi na wapi? 😢
Una maanisha lets assume 500,000 x 50? Au?Sio lazima upeleke ng'ombe. Peleka hela watanunua hizo ng'ombe wenyewe.
We Mwanamke, Unaijua gharama ya Ng'ombe 50?Sio lazima upeleke ng'ombe. Peleka hela watanunua hizo ng'ombe wenyewe.
Kama unampenda sana huyo manzi mtundike mimba chap, afu utasikilizwa wewe unavyotaka😁Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe hamsini mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu?
Ama hakika Wanyantuzu Wasukuma mbona mnatukomoa? Ng'ombe hamsini na mimi wapi na wapi? 😢
Hapana.Una maanisha lets assume 500,000 x 50? Au?
Hao hawakutaki jiongeze wewe, mademu pisi Kali wapo wengi hawana pa kwenda unataka ukakamatishwe mbuzi kwenye gunia.Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe hamsini mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu?
Ama hakika Wanyantuzu Wasukuma mbona mnatukomoa? Ng'ombe hamsini na mimi wapi na wapi? 😢
Tumia shortcutAma hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe hamsini mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu?
Ama hakika Wanyantuzu Wasukuma mbona mnatukomoa? Ng'ombe hamsini na mimi wapi na wapi? 😢