Nimetajiwa ng'ombe 50 kwa ajili ya mahari tu, eeh nafwaa!

Nimetajiwa ng'ombe 50 kwa ajili ya mahari tu, eeh nafwaa!

Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe hamsini mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu?

Ama hakika Wanyantuzu Wasukuma mbona mnatukomoa? Ng'ombe hamsini na mimi wapi na wapi? 😢
Si uende Mtwara
 
Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe hamsini mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu?

Ama hakika Wanyantuzu Wasukuma mbona mnatukomoa? Ng'ombe hamsini na mimi wapi na wapi? [emoji22]
Thamani ya ngombe huwa laki ama elf 50 so usiogope
 
Guys mm ni mnyantuzu
Iko hivi, thamanisha hao ngimbe kwa pesa, wabane thamani ya ngombe isizid laki moja, anzieni elf 50. Huwa tunalipa nusu ngombe 25 zingine huwa hazilipwi hadi mnazeeka, bamkwe ndo akitaka kuja kusalimia wajukuu huja kudai madeni unampa ngombe mmoja then unamwambia baba bado tunajipanganga
 
Guys mm ni mnyantuzu
Iko hivi, thamanisha hao ngimbe kwa pesa, wabane thamani ya ngombe isizid laki moja, anzieni elf 50. Huwa tunalipa nusu ngombe 25 zingine huwa hazilipwi hadi mnazeeka, bamkwe ndo akitaka kuja kusalimia wajukuu huja kudai madeni unampa ngombe mmoja then unamwambia baba bado tunajipanganga
We muoaji mlalamishi chukua hii itakusaidia sio unavamia tu kabila za watu.
 
Na kugongewa kama kawa, mlete tu mjini wajuba tumfaidi wana huruma sana hao
 
Guys mm ni mnyantuzu
Iko hivi, thamanisha hao ngimbe kwa pesa, wabane thamani ya ngombe isizid laki moja, anzieni elf 50. Huwa tunalipa nusu ngombe 25 zingine huwa hazilipwi hadi mnazeeka, bamkwe ndo akitaka kuja kusalimia wajukuu huja kudai madeni unampa ngombe mmoja then unamwambia baba bado tunajipanganga
Aachane na magasa...

Alipe tu amalize...

Amagasa gatīgawiza [emoji16]
 
Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu Mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe hamsini mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu?

Ama hakika Wanyantuzu Wasukuma mbona mnatukomoa? Ng'ombe hamsini na mimi wapi na wapi? 😢
Bro achana nao hao..twende nikupeleke kondoa hapo unachukua pisi kali kwa laki 3 tu ya mahari
 
Ukitoa mahari yote unyantuzuni ni dharau inamaana hautaki udugu and hautaki ukweni waje kusalimia
Unyantuzu ya wapi mkuu unaongelea?

Kama hutaki magasa unatoa tu mahari yote mnamalizana. Nilifanya hivyo mwaka juzi tu hapa na hakuna kilichoharibika. Labda inategemea na familia uliyooa pia.

Lekagūbūlongo!
 
Ukiona umepangiwa ng'ombe wengi namna hiyo kuna mambo kadhaa.

1. Pengine hiyo familia hawakutaki. Njia hii hutumiwa baada ya familia kuongea na msichana na kuona kuwa hakukubali sana basi wanakupangia bei kubwa ili ukate tamaa mwenyewe. Na huwa hawataki pesa. Watataka ukalete ng'ombe au nusu pesa nusu ng'ombe.

2. Binti ni mweupe, mrefu na amesoma. Hapa tegemea ng'ombe kibao kama hao ulioambiwa.

3. Muhimu sana: Ulizia exchange rate ya ng'ombe kwenda kwenye pesa. Unaweza ukakuta unapangiwa kila ng'ombe ni 20K tu. Kwa hivyo kwa ng'ombe wote 50 kwenye pesa utatoa milioni moja tu which is reasonable. Kiwango cha juu pengine itakuwa 50K kwa kila ng'ombe. Kwa hiyo ng'ombe wote 50 itakuwa 2.5 milioni which is still reasonable.

Tafuta wajomba wenye negotiation skills nzuri wakakufanyie hiyo kazi. Kama binti anakukubali mtaishia kwenye 30K kwa kila ng'ombe (1.8 million).

Au kama vipi nilipe mimi nikakufanyie hiyo kazi. Nitawalazimisha kila ng'ombe 10K na total ya mahari iwe laki tano.

Njoo inbox tufanye biashara. Nitakuchaji laki mbili tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Jamani muolewaj laki 5 dalali laki 2 duh
 
Back
Top Bottom