.....,.kama unakubaliana na suala la mahari, unadhani mchumba wako anathamani ya sh.ngapi.!!!
Ndoa ni utu (kujitoa) wala hakuthaminishwi na fedha kiufupi tu hawakutaki uoe but una chance moja tu....piga mimba lazima waje wapunguze dau
Huwez thaminisha personality ya mtu, life, education..... kwa pesa! Sijui valuer atatumia formula gani..
WaJF naomba ushauri wenu .nifanye je ?? Mchumba nampenda sana na nataka kuoa ila hiyo mahali niliyotajiwa imeniumiza kichwa kabisa .wazazi wake wanataka mahali 5mil.mi ntatoa wapi ?? Hii ni biashara ??mbona tunaumizana hivi ??nimejaribu kuzungumza na mchumba wangu ,anasema hana uwezo wa kubadili maamuzi ya kikao cha wazazi na ndugu zake ?? Naomba wajf mnishauri plz??Nifanye je ??Naomba ushauri
Ha hahahhaha! Ukifanya hivyo unavyoshauri, kwenye mahari aliyotajiwa ongeza na laki mbili nyingine.
Mahari ni makubaliano yanayowekwa so wahusika wa upande wako wazidi kujadiliana kulingana na uwezo wako
kaka yangu aliambiwa apeleke kilo kumi za dhahabu kwa kuwa yeye anatoka africa, akamwambia mchumba wake hata gram mia sitoi rudi nyumbani, demu akang'ang'ania kwa bro, mara mimba ya kwanza, mtoto hajatembea vizuri mimba ya pili, ooh wazazi wakasema jamani fungeni ndoa mahari mtalipa kidogo kidogo tuu na mfumo wa mahari ukabadilishwa. muda mwingine mahari kubwa unayolipiwa msichana inaenda kukupa maisha ya tabu huko. pole kaka wewe peleka hata milioni moja waambie wataendelea kukudai mwishoe mnajukuu