Nimetajiwa shilingi milioni tano mahali ya kuoa

Kiukweli hapo si Sawa mnapendana?Kama ana upendo wa dhati ye ndo wakusema 5mil(on) iwe mil(of)
 
Hebu twende taratibu kwanza usitukokotekotete tu, huyo kaka yako aliambiwa atowe mahari ya kilo 10 ya dhahabu kwa sababu anatoka Africa, je ni bara gani hilo alilokwenda kuoa na ni nchi ipi hiyo? ebu tuanzie hapo kwanza.

walikuwa washenzi tuu, kwani unadhania walikuwa wanasema kweli ilikuwa njia ya kumfukuza, kabinti kao ni kaelitrea mama yake ni mmarekani mweusi, kaka na mke wake sasa wanaishi sweden ( walioanoa tuu) watu wa elitrea ndiyo waliodai mambo hayo, halafu huwa siongei kitu nisichokijua. kaka yangu na mimi ni wabaganda kutoka mukono uganda, mimi naishi tanzania sasa. kuna swali?
 

we acha tuu ilikuwa njia ya kumnyima mke tuu, kademu kamechanganyika ila kimekulia kwa obama na huku elitrea kwenyewe anapaona kwenye ramani tuu, lakini ndugu wa elitrea ndiyo walitaja hiyo mahari naona walitaka kuuaga umasikini, na mpaka sasa hata gram tatu hawakupewa, na tayari wameshaoana na mitoto tayari
 

nimekusamehe bure kwa sababu nina uhakika bado unajifunza kiswahili si rahisi kuelewa nilichokuuliza ndio maana hapa umeninywesha juice ya pilipili na supu ya mawe siyo kokoto.
 
nimekusamehe bure kwa sababu nina uhakika bado unajifunza kiswahili si rahisi kuelewa nilichokuuliza ndio maana hapa umeninywesha juice ya pilipili na supu ya mawe siyo kokoto.

mi najua kiswahili ndugu yangu we acha tuu, na huwa nikishindwa kuelewa jambo kiundani nina kamusi yangu na pia kuna marafiki wananisaidia
 
Kwa mfano ukatoa zote mil 5, then wahuni wakakuchapia si itakuuma sana maana umemnunua kwa pesa mingii..
 
mi najua kiswahili ndugu yangu we acha tuu, na huwa nikishindwa kuelewa jambo kiundani nina kamusi yangu na pia kuna marafiki wananisaidia

umeniuliza ni wao kutoka bara gani ni Africa pia ila hawajawaji kuishi huku, tofauti na kaka yangu kilichoompeleka nje ni kazi tuu, kama mimi kilichonileta tanzania
 
nimekusamehe bure kwa sababu nina uhakika bado unajifunza kiswahili si rahisi kuelewa nilichokuuliza ndio maana hapa umeninywesha juice ya pilipili na supu ya mawe siyo kokoto.

umeniuliza wametoka bara gani, wote ni waafrica, tofauti ni kwamba kaka yangu kilichompeleka nje ni kazi kama mimi kilichonileta Tanzania, wao wanaiona hiyo nchi yao kwenye ramani hawajawahi hata kuja hivyo hawajawahi kuishi huko kwao, ila ilikuwa njia ya kumkataa tuu
 
Nnachofahamu mahari sio lazima ilipwe yote na kuna nafasi kubwa tu kwa pande zote kujadili.

Pamoja na hayo, 5mil is too much bila kujali uwezo wa mtu upoje.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Mwambie mie nimeshindwa dau naona nisikupotezee muda itabidi tuachane nitafute wa saizi yangu. Then mchunie kwa muda. Utaona matokeo
 
mkuu hapo umepigwa kibutu kiutu uzima!
 

"elitrea" ndio wapi? au ulimaanisha Eritrea?
 
Kwani mahari inatolewa yoote, usiogope mahari kubali tanguliza nusu chukua binti nyingine utamaliziaga mbele kwa mbele.
 
mimi nilishasema mahali ikizidi milioni 1.8 hapo ni biashara
sasa milioni 5 au wazazi wanataka kumfanya mtoto wao kama chombo cha wao kumaliza matatizo yao yote ya ki uchumi?
 
Hao wanataka waponee humo humo, kama vipi kimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…