Drydon
Senior Member
- Mar 11, 2019
- 125
- 191
Nimejichanga miaka kadhaa hatimae nikapata kakiwanja kangu huko ndanindani Zingiziwa
Nikajichanga tena wazo ni angalau niwe na kakibanda hata kamgongo wa ng'ombe nisahau adha za kodi. Juzi nimeenda na fundi wangu angalau tugawane rizk tumeanza kuchimba msingi leo tumeanza kuingiza tofauri kwenye msingi.
MAMA KAZUBI na wadau kadhaa[emoji1787] wananiwekea kauzibe wananidai kibali cha ujenzi dah chumba kimoja wallah. Nikagomea urahisishwaji sasa nimepewa barua ya wito kesho kwa mtendaji na msisitizo nisitishe ujenzi kwa sheria ya 1982[emoji58] je! Huwa kinajili nini na kuna gharama kiasi gani.
Nikajichanga tena wazo ni angalau niwe na kakibanda hata kamgongo wa ng'ombe nisahau adha za kodi. Juzi nimeenda na fundi wangu angalau tugawane rizk tumeanza kuchimba msingi leo tumeanza kuingiza tofauri kwenye msingi.
MAMA KAZUBI na wadau kadhaa[emoji1787] wananiwekea kauzibe wananidai kibali cha ujenzi dah chumba kimoja wallah. Nikagomea urahisishwaji sasa nimepewa barua ya wito kesho kwa mtendaji na msisitizo nisitishe ujenzi kwa sheria ya 1982[emoji58] je! Huwa kinajili nini na kuna gharama kiasi gani.