Nimetakiwa kuwa na kibali cha ujenzi

Nimetakiwa kuwa na kibali cha ujenzi

Hapa kwenye kibali cha ujenzi nina chakusimulia



Wajumbe kutoka serikali ya mtaa wangu ni wanoko sana na wanapenda mserereko. Katika pitapita zao kwenye mtaa wao wakakuta kuna ujenzi unaendelea bila ya kibali wakawachimba mkwara wa kutosha mafundi wasiendelee na ujenzi maana hawakumkuta boss wa eneo lile.


Wakaondoka huku wameacha kamera kibao ( wanoko wambeya) kama mafundi wakiendeleza ujenzi watoe taarifa kwao. Wakati huo hawakumjua mmili wa eneo ni nani ila walijua ni mtu mwenye nazo hivyo wangepata kisuuza roho cha kutosha maana eneo ni kubwa sana kuashiria ni la mtu mzito kiuchumi


Mafundi wakampa bosi taarifa ya kuzuiliwa ujenzi mpaka kibali. Bosi akauliza ni chawa gani hao? Akapatiwa maelezo! Akawataka mafundi wasitishe ujenzi siku mbili ya tatu waendelee na kazi kama kawaida yeye atakuepo hataenda kazini na ikawa ivo


Wajumbe wakapashwa ya kwamba ujenzi unaendelea wakachukua bajaj pamoja na manyungu ( polisi jamii) wa kutosha. Kufika eneo la kazi wajumbe wa serikali ya mtaa wakawasha moto kwa mafundi



Ilisikika mlio wa risasi hewani wote vichwa chini ya ardhi au nikumwage ubongo na wote wakalala chini kisha wakaamriwa kama wewe unajua ni fundi simama juu na ikawa hivo. Kumbe bwana mmiliki alikua ni mtu mzito sana jwtz ( kuonesha id) akawapa onyo wale wanoko wasionekane pale tena hawajui jinsi gani watu wameipambania nchi. Baada ya amri wapotee wana sekunde chache walikimbia na bajaji yenyewe waliacha palepale
 
Hapa kwenye kibali cha ujenzi nina chakusimulia



Wajumbe kutoka serikali ya mtaa wangu ni wanoko sana na wanapenda mserereko. Katika pitapita zao kwenye mtaa wao wakakuta kuna ujenzi unaendelea bila ya kibali wakawachimba mkwara wa kutosha mafundi wasiendelee na ujenzi maana hawakumkuta boss wa eneo lile.


Wakaondoka huku wameacha kamera kibao ( wanoko wambeya) kama mafundi wakiendeleza ujenzi watoe taarifa kwao. Wakati huo hawakumjua mmili wa eneo ni nani ila walijua ni mtu mwenye nazo hivyo wangepata kisuuza roho cha kutosha maana eneo ni kubwa sana kuashiria ni la mtu mzito kiuchumi


Mafundi wakampa bosi taarifa ya kuzuiliwa ujenzi mpaka kibali. Bosi akauliza ni chawa gani hao? Akapatiwa maelezo! Akawataka mafundi wasitishe ujenzi siku mbili ya tatu waendelee na kazi kama kawaida yeye atakuepo hataenda kazini na ikawa ivo


Wajumbe wakapashwa ya kwamba ujenzi unaendelea wakachukua bajaj pamoja na manyungu ( polisi jamii) wa kutosha. Kufika eneo la kazi wajumbe wa serikali ya mtaa wakawasha moto kwa mafundi



Ilisikika mlio wa risasi hewani wote vichwa chini ya ardhi au nikumwage ubongo na wote wakalala chini kisha wakaamriwa kama wewe unajua ni fundi simama juu na ikawa hivo. Kumbe bwana mmiliki alikua ni mtu mzito sana jwtz ( kuonesha id) akawapa onyo wale wanoko wasionekane pale tena hawajui jinsi gani watu wameipambania nchi. Baada ya amri wapotee wana sekunde chache walikimbia na bajaji yenyewe waliacha palepale
kwa sababu tu walienda wajumbe ila kama angeenda mtendaji wa mtaa na uhakika huyu mjeshi sasa hivi angeongea lugha nyengine.
 
Hapa kwenye kibali cha ujenzi nina chakusimulia



Wajumbe kutoka serikali ya mtaa wangu ni wanoko sana na wanapenda mserereko. Katika pitapita zao kwenye mtaa wao wakakuta kuna ujenzi unaendelea bila ya kibali wakawachimba mkwara wa kutosha mafundi wasiendelee na ujenzi maana hawakumkuta boss wa eneo lile.


Wakaondoka huku wameacha kamera kibao ( wanoko wambeya) kama mafundi wakiendeleza ujenzi watoe taarifa kwao. Wakati huo hawakumjua mmili wa eneo ni nani ila walijua ni mtu mwenye nazo hivyo wangepata kisuuza roho cha kutosha maana eneo ni kubwa sana kuashiria ni la mtu mzito kiuchumi


Mafundi wakampa bosi taarifa ya kuzuiliwa ujenzi mpaka kibali. Bosi akauliza ni chawa gani hao? Akapatiwa maelezo! Akawataka mafundi wasitishe ujenzi siku mbili ya tatu waendelee na kazi kama kawaida yeye atakuepo hataenda kazini na ikawa ivo


Wajumbe wakapashwa ya kwamba ujenzi unaendelea wakachukua bajaj pamoja na manyungu ( polisi jamii) wa kutosha. Kufika eneo la kazi wajumbe wa serikali ya mtaa wakawasha moto kwa mafundi



Ilisikika mlio wa risasi hewani wote vichwa chini ya ardhi au nikumwage ubongo na wote wakalala chini kisha wakaamriwa kama wewe unajua ni fundi simama juu na ikawa hivo. Kumbe bwana mmiliki alikua ni mtu mzito sana jwtz ( kuonesha id) akawapa onyo wale wanoko wasionekane pale tena hawajui jinsi gani watu wameipambania nchi. Baada ya amri wapotee wana sekunde chache walikimbia na bajaji yenyewe waliacha palepale

Kwa hiyo kumbe hivi vibali vinakuwa na double standard ee...!?
Kwamba mtu akiwa na cheo akipiga mkwara ni basi wala hafuatiliwi...! Maana kwa namna ulivyoelezea ni kwamba story za huyo mjeda kudaiwa kibali ziliishia palepale!
 
Kwa hiyo kumbe hivi vibali vinakuwa na double standard ee...!?
Kwamba mtu akiwa na cheo akipiga mkwara ni basi wala hafuatiliwi...! Maana kwa namna ulivyoelezea ni kwamba story za huyo mjeda kudaiwa kibali ziliishia palepale!
Hakika ilishia palepale
 
Hapa kwenye kibali cha ujenzi nina chakusimulia



Wajumbe kutoka serikali ya mtaa wangu ni wanoko sana na wanapenda mserereko. Katika pitapita zao kwenye mtaa wao wakakuta kuna ujenzi unaendelea bila ya kibali wakawachimba mkwara wa kutosha mafundi wasiendelee na ujenzi maana hawakumkuta boss wa eneo lile.


Wakaondoka huku wameacha kamera kibao ( wanoko wambeya) kama mafundi wakiendeleza ujenzi watoe taarifa kwao. Wakati huo hawakumjua mmili wa eneo ni nani ila walijua ni mtu mwenye nazo hivyo wangepata kisuuza roho cha kutosha maana eneo ni kubwa sana kuashiria ni la mtu mzito kiuchumi


Mafundi wakampa bosi taarifa ya kuzuiliwa ujenzi mpaka kibali. Bosi akauliza ni chawa gani hao? Akapatiwa maelezo! Akawataka mafundi wasitishe ujenzi siku mbili ya tatu waendelee na kazi kama kawaida yeye atakuepo hataenda kazini na ikawa ivo


Wajumbe wakapashwa ya kwamba ujenzi unaendelea wakachukua bajaj pamoja na manyungu ( polisi jamii) wa kutosha. Kufika eneo la kazi wajumbe wa serikali ya mtaa wakawasha moto kwa mafundi



Ilisikika mlio wa risasi hewani wote vichwa chini ya ardhi au nikumwage ubongo na wote wakalala chini kisha wakaamriwa kama wewe unajua ni fundi simama juu na ikawa hivo. Kumbe bwana mmiliki alikua ni mtu mzito sana jwtz ( kuonesha id) akawapa onyo wale wanoko wasionekane pale tena hawajui jinsi gani watu wameipambania nchi. Baada ya amri wapotee wana sekunde chache walikimbia na bajaji yenyewe waliacha palepale
Wajeshi ni wababe Sana...kwamba alikuwa hana uwezo wa kupata hicho kibali?
 
Back
Top Bottom