Nimetapeliwa kwenye ndoa ya Kikristo tena na mkristo mwenzangu

Maelezo mengi ila yamejaa chuki,wivu,roho mbaya na ubinafsi pro max....Unataka awaache hao watoto wake walelewe na nani?? Au mama yao pekee?
 
Hapo kuna mawili , moja unasikitika amekuoa wewe ni bikira, ilahali yeye ana watoto wawili .. so inajutia bikira yako kutoka hapo sijui tukusaidiaje ila ndio ishatoka...

Pili mume wako kuwa na mwanamke mwengine.. hilo ni la kawaida mwambie amuoe kabisa kwani mwanaume kuoa mke mmoja ni unyonge .. sisi waislam tumeambiwa ukiiishindwaaaaa kabisa basi ni mmoja ...
 
"Moja ya mapungufu ya dini ya ya kikristo ni kuruhusu kuoa mke mmoja"
Hayo NI maneno ya Padre mmoja akisuluhisha mgogoro wa ndoa.

NI kosa kubwa kwenye dunia hii kutoelewa asili ya mwanaume kwa mwanamke,unapoingia ondoa mawazo ya kujimilikisha ikitokea yeye kubaki wako pekee hiyo NI bahati.
 
Uko sahihi emotions ndo mchawi ila hakuna hisia pasipo fikra ili uzuie hisia za maumivu lazima ubadili FIKRA za maumivu na njia moja wapo ya kubadili FIKRA ni lazima ubadili jinsi unavyotafsiri juu ya kitendo au hali inayokuumiza, kumbuka tunakuwa tunaumia kutokana na tafsiri tunazoweka kwenye tukio au hali iliyotokea ila sio tukio kitendo au tukio ndo linaloumiza hapana, ndo maana muda mwingine utaona watu wawili wamepata tatizo la aina moja, mmoja hawezi tetereka wala kuumia ukifatilia utakuta yeye ana tafsiri tofauti ambapo hajaruhusu kuumia ila mwingine anaumia na kuteseka sababu ya tafsiri yake, sasa utaona solution ni kubadili tafsiri kwenye FIKRA na HISIA maana hawa ni maadui wawili wanaosaidia
 
Wewe ni mwafrika, mambo ya wazungu waachie wazungu.

Afrika mume anaoa wake wengi. Hata Asia pia, nani alikudanganya ukristo ni kuwa na mke mmoja?

Soma maandiko, nabii Daudi na mtoto wake Sulemani walikuwa na wake wengi. Sasa unataka uwaache watoto wake abaki na huyo wa kwako tu.

Acha wivu bhana
 
Moja ya mapungufu ya dini ya ya kikristo ni kuruhusu kuoa mke mmoja"
Hayo NI maneno ya Padre mmoja akisuluhisha mgogoro wa ndoa.
Yaani ni upuuzi kuruhusu wazungu kuingiza utamaduni wao kwenye ukristo. Kwenye biblia manabii walioa wake wengi mbona na hakukuwa na shida
 
Yaani ni upuuzi kuruhusu wazungu kuingiza utamaduni wao kwenye ukristo. Kwenye biblia manabii walioa wake wengi mbona na hakukuwa na shida
Ndugu yangu yamenikuta niombee!
 
Pole dear....kama una kazi au biashara ondoka kama hauna anza kujipanga kua single mom. Hakuthamin hilo ndio linalokuumiza zaidi na mwanaume kama hajakuthamin mwanzon hatakaa akuthamin so tafuta namna uondokane na hayo mateso dear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…