Nimetapeliwa - meridian bet

Nimetapeliwa - meridian bet

Acha guessing za kitoto...Vodacom waibe 140....are you out of your mind
Tulia wewe, namaanisha acheki nao voda Kama mpunga uliingia meridian hawausiki Tena hapo,,,Kuna mikopo acheki wampe majibu pia
 
Kampuni kubwa / inayotegemea publicity ili iendelee haiweze kuharibu jina la Kampuni hata kwa milioni tano au kumi... (promotion tu huenda wanatumia maradufu ya hio)

Fuatilia utagungundua ni nini unless otherwise ulilipwa kimakosa
 
Hawana ofisi? Ulipiga simu mara ngapi? Mimi naona kama unatahayaruki haraka. Tuliza akili na ufuatilie bila papara.
Sure bro. Meridian kampuni kubwa sana. Sema mwamba yupo kwenye taharuki tu.
Kweli ameshindwa kwenda kwny branch yoyote ya meridian mpk kuja kuwachafua apa kwa 140K??
Mi ningekua ww ata huu uzi ningeufuta.
 
Sijataharuki usimsemee mtu , nipo iringa nisaidie pa kwenda
Ungekuwa hujatayaruki usingefungua uzi haraka haraka kuishambulia Meridian kabla ya kujiridhisha wapi pesa yako imekwama.

Hapa hatuwezi kukusaidia sababu hatujui sababu ya pesa zako kurudishwa, nenda duka la Meridian hapo Iringa utapata majibu ya tatizo lako.

Usitoe tuhuma kabla hajapata majibu ya wahusika,ni kosa kisheria.
 
NIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?

Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=

Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=

Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.

Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.

Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.

Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine

Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.

Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.
Tafuta kazi ya kufanya braza, achana na kamari utakufa maskini. Unataka upige hela bila kuvuja jasho...NO SWEAT...NO SWEET!Utaliwa sana hadi ukome braza
 
Au labda hiyo 184,000/- ni ushindi kabla ya makato ya 20%. Ila kuzulumiwa sio rahisi, check vizuri mahesabu.
 
NIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?

Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=

Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=

Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.

Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.

Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.

Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine

Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.

Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.
uli bet kwa odd ya ngapi?
 
Katika makampuni ya kubet, Meridian ndio kampuni bora hawana longolongo, huwa najiliwaza siku nikiamua kubet na malipo fasta tu
 
Kwanza omba mods wafute uzi wako.
Pili ukiwithdraw hela kutoka kwenye akaunti ya kubeti, ikishathibitishwa na operator na kuingia kwenye simu, hao kampuni ya kubet hawana uwezo wa kuirudisha.
Kwa hiyo kwa tatizo lako wasiliana vizuri na voda. Sana sana kama ungekuwa umewithdraw then kuna makosa yalifanyika kwenye slip yako, wangekuandikia (-) kwenye akaunti yako na kiasi unachodaiwa na sio kurudisha hela.
 
NIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?

Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=

Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=

Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.

Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.

Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.

Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine

Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.

Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.
Kuna taasisi moja inasimamiwa na Abas Tarimba nenda ofisi zao utasaidiwa
 
Back
Top Bottom