kanuga
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 743
- 1,306
Tulia wewe, namaanisha acheki nao voda Kama mpunga uliingia meridian hawausiki Tena hapo,,,Kuna mikopo acheki wampe majibu piaAcha guessing za kitoto...Vodacom waibe 140....are you out of your mind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe, namaanisha acheki nao voda Kama mpunga uliingia meridian hawausiki Tena hapo,,,Kuna mikopo acheki wampe majibu piaAcha guessing za kitoto...Vodacom waibe 140....are you out of your mind
Sure bro. Meridian kampuni kubwa sana. Sema mwamba yupo kwenye taharuki tu.Hawana ofisi? Ulipiga simu mara ngapi? Mimi naona kama unatahayaruki haraka. Tuliza akili na ufuatilie bila papara.
Kauli ya kupigwa inamaana ya kuibiwa....hapo labda kama ulitelezaTulia wewe, namaanisha acheki nao voda Kama mpunga uliingia meridian hawausiki Tena hapo,,,Kuna mikopo acheki wampe majibu pia
Ungekuwa hujatayaruki usingefungua uzi haraka haraka kuishambulia Meridian kabla ya kujiridhisha wapi pesa yako imekwama.Sijataharuki usimsemee mtu , nipo iringa nisaidie pa kwenda
VodaNianzie voda polisi meridian au bodi ya michezo
Kasema kabet Meridian, sio BetpawaMe betpawa nisha with draw Mara kibao laki laki hizi makampuni hawanaga noma
Hawezi kufungwa bhna. Akishtakiwa for defamation of character hiyo ni civil case sio criminal case bro....Pole sana mkuu,ilA unachafua brand ya kampuni wakiamua kukushitaki unaweza fungwa,ila itakuwa ni issue za kawaida utapata pesa yako.
Tafuta kazi ya kufanya braza, achana na kamari utakufa maskini. Unataka upige hela bila kuvuja jasho...NO SWEAT...NO SWEET!Utaliwa sana hadi ukome brazaNIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?
Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=
Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=
Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.
Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.
Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.
Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine
Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.
Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.
uli bet kwa odd ya ngapi?NIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?
Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=
Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=
Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.
Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.
Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.
Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine
Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.
Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.
uli bet kwa odd ya ngapi?
Kuna taasisi moja inasimamiwa na Abas Tarimba nenda ofisi zao utasaidiwaNIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?
Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=
Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=
Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama taratibu zilivyo na ni vilevile kama nikifanikiwa kushinda bet.
Ikaja sms ya mpesa umepokea 140,000/= na kwenye mpesa yangu ilibaki 500 hivyo salio kuu likasoma 140,500.
Imefika mda nataka kununua salio kwa mpesa naambiwa huna salio kiwango cha pesa ulichotumiwa kimerudishwa.
Nimebaki na masononeko tu sijui kama polisi nitasaidiwa au nitapoteza hela zingine
Niambien hatua za kufuata customer care ya meridian wananikatia simu.
Aliyewahi pata changamoto kama yangu alifanya nini kupata haki yake.