Nimetawaza kwa kutumia maji yenye Jik

Inshaallah pamepoa kwa lweli ni mbabuko nilipewa dawa ya majani nikapona
 
kiutaalam jk inapoingia sehem iliyolain lazima itareact kidogo lkn end of ths haina madhara zaid ya kukuweka msafi maradufu
 
umejidisinfect duhh hapo ata hupati cholera maisha yako yote heko
 



Kwa Ninavyoijua JIK Ilivyo Na Kemikali Kali Sidhani Hata Kama MNYERO ( Mkundu ) Wako Bado Upo au Unao Mkuu. JIK Itakuwa Imefagia Kila Kitu Huko UVUNGUNI Kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…