Kambulanga
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 261
- 97
He! nabiiNabii hakubaliki kwao!
Gambia ni nchi yenye watu 2,417,000 sawa tu na raia wanaoishi viunga vya Tabata na Kimara hapa Tanzania. Sasa Tanzania tuache kazi zetu tukampokee yeye kwa lipi wakati kila siku tunagonga naye vyombo pale Element?Jana ilikuwa ni Siku ya Furaha Nchi Gambia, Ikiwa ni Maadhimisho ya Kumbukumbu Ya Siku waliyo Pata Uhuru Nchini Gambia.
Kwa Kutambua Ukuwa wa Msanii Diamond, Serikali Ya Gambia Iliamua Kumualika Diamond Kuja Kuperform Katika Siku Hiyo.
Nimetazama Mapokezi Ya Diamond Nchini Gambia, hakika nimeona ni somo kwa Wasanii wa Bongo Kujifunza kutoka Kwa Diamond, Yale Mapokezi Nchini Gambia Diamond Hajawahi kuyapata hata akiwa Hapa Nchini Tanzania. Ni mapokezi Yaliyo Vunja Record katika kipindi hiki Tunacho Jaribishwa kuaminishwa kuwa Diamond Kaanza Kushuka Kimuziki, Nchi Gambia Wametuthibitishia Kuwa Diamond Bado Tunaye Sanaaa…
Wasanii wa Bongo wajifunze kufanya kazi Kwa Malengo na kuacha Janja Janja Katika Mziki, ikiwa ni pamoja na kutumia pesa nyingi Kujibrand.
Tazama mapokezi haya
HamkosekaniMama Samia toka aanze kuzurura hapa nchini Tz hajawahi kupokelewa popote na huo umati tena ukiwa na vibe kama hilo. Akienda nje ya nchi ndio kabisa, hakuna raia anayejigusa kumpokea, sana sana atapokelewa na chawa wake tu kama Mangi Kimambi.
Sasa ajifunze kitu.
Kwani mnashindana?Mimi ni mshabiki wa Alikiba ila Diamond Platnumz hatumuwezi kabisa
NdioKwani mnashindana?
Kafanya na Fally, Koffi,Inoss'B hao wote wanaongea kifaransa.Huko inabidi aongee kibububu maana ghambia ni nchi ya kifaransa. Hata hivyo anapendwa sana nchi za francophone inabidi atafute msanii mmoja wa huko ale kolabo la kifaransa
Jana ilikuwa ni Siku ya Furaha Nchi Gambia, Ikiwa ni Maadhimisho ya Kumbukumbu Ya Siku waliyo Pata Uhuru Nchini Gambia.
Kwa Kutambua Ukuwa wa Msanii Diamond, Serikali Ya Gambia Iliamua Kumualika Diamond Kuja Kuperform Katika Siku Hiyo.
Nimetazama Mapokezi Ya Diamond Nchini Gambia, hakika nimeona ni somo kwa Wasanii wa Bongo Kujifunza kutoka Kwa Diamond, Yale Mapokezi Nchini Gambia Diamond Hajawahi kuyapata hata akiwa Hapa Nchini Tanzania. Ni mapokezi Yaliyo Vunja Record katika kipindi hiki Tunacho Jaribishwa kuaminishwa kuwa Diamond Kaanza Kushuka Kimuziki, Nchi Gambia Wametuthibitishia Kuwa Diamond Bado Tunaye Sanaaa…
Wasanii wa Bongo wajifunze kufanya kazi Kwa Malengo na kuacha Janja Janja Katika Mziki, ikiwa ni pamoja na kutumia pesa nyingi Kujibrand.
Tazama mapokezi haya
Kwa vikumbo vyake hapa Tanzania kawaacha ila sio kwa wale washenzi akina OBO,WizKid na Burna boy wale ni heavyweightJana ilikuwa ni Siku ya Furaha Nchi Gambia, Ikiwa ni Maadhimisho ya Kumbukumbu Ya Siku waliyo Pata Uhuru Nchini Gambia.
Kwa Kutambua Ukuwa wa Msanii Diamond, Serikali Ya Gambia Iliamua Kumualika Diamond Kuja Kuperform Katika Siku Hiyo.
Nimetazama Mapokezi Ya Diamond Nchini Gambia, hakika nimeona ni somo kwa Wasanii wa Bongo Kujifunza kutoka Kwa Diamond, Yale Mapokezi Nchini Gambia Diamond Hajawahi kuyapata hata akiwa Hapa Nchini Tanzania. Ni mapokezi Yaliyo Vunja Record katika kipindi hiki Tunacho Jaribishwa kuaminishwa kuwa Diamond Kaanza Kushuka Kimuziki, Nchi Gambia Wametuthibitishia Kuwa Diamond Bado Tunaye Sanaaa…
Wasanii wa Bongo wajifunze kufanya kazi Kwa Malengo na kuacha Janja Janja Katika Mziki, ikiwa ni pamoja na kutumia pesa nyingi Kujibrand.
Tazama mapokezi haya
Kilaza weweMama Samia toka aanze kuzurura hapa nchini Tz hajawahi kupokelewa popote na huo umati tena ukiwa na vibe kama hilo. Akienda nje ya nchi ndio kabisa, hakuna raia anayejigusa kumpokea, sana sana atapokelewa na chawa wake tu kama Mangi Kimambi.
Sasa ajifunze kitu.
Safi Sana afungue na wasafi fm kabisa nchi inaonekana bado sanaJana ilikuwa ni Siku ya Furaha Nchi Gambia, Ikiwa ni Maadhimisho ya Kumbukumbu Ya Siku waliyo Pata Uhuru Nchini Gambia.
Kwa Kutambua Ukuwa wa Msanii Diamond, Serikali Ya Gambia Iliamua Kumualika Diamond Kuja Kuperform Katika Siku Hiyo.
Nimetazama Mapokezi Ya Diamond Nchini Gambia, hakika nimeona ni somo kwa Wasanii wa Bongo Kujifunza kutoka Kwa Diamond, Yale Mapokezi Nchini Gambia Diamond Hajawahi kuyapata hata akiwa Hapa Nchini Tanzania. Ni mapokezi Yaliyo Vunja Record katika kipindi hiki Tunacho Jaribishwa kuaminishwa kuwa Diamond Kaanza Kushuka Kimuziki, Nchi Gambia Wametuthibitishia Kuwa Diamond Bado Tunaye Sanaaa…
Wasanii wa Bongo wajifunze kufanya kazi Kwa Malengo na kuacha Janja Janja Katika Mziki, ikiwa ni pamoja na kutumia pesa nyingi Kujibrand.
Tazama mapokezi haya