Nimetembea na mchumba wa Marehemu binamu yangu

Nimetembea na mchumba wa Marehemu binamu yangu

Wakati unamfungua miguu hukuwaza ni dhambi ya Uzinzi, sa hivi unakuja na kisingizio Cha laana. [emoji57][emoji57][emoji57]

Nimeuliza tu mkuu.. ni binti mzuri ana sifa ya kuwa mke wangu ila nimepata hofu baada ya kujua hili
 
Nimeuliza tu mkuu.. ni binti mzuri ana sifa ya kuwa mke wangu ila nimepata hofu baada ya kujua hili

Nikakuuliza vizuri tu Unamuoa? Ukajibu ndio. Nikamwambia maliza Chapchap. Ila wewe unaleta uswahili kuanza kuulizia laana za uchumba .
 
Watu wanakulana mabinamu wewe unaogopa mchumba wa binamu tena marehemu binamu ?

Huyo oa kabisa, hata Mungu atakubariki.
 
Umeisha wewe na kizazi chako. Ng'ata mboo mpaka itoe damu utoe gundu. Seriously
 
Wakuu hapa nimevurugwa.. ni hivi wote tulikuwa hatufahamu yaani hatufahamiani..

Nimeanza kujuana na huyu binti kitambo japo alikuwa ananikataa kumbe alikuwa yupo na binamu yangu. Binamu yangu sasa ni marehemu.

Juzi wakati tunapiga story huyu mwanamke akaanza kuniuliza mimi mtu wa wapi i mean nyumbani ni sehemu gani, nikamuambia akaniuliza unamfahamu baba fulani nikasema simfahamu.. akaniambia aliwahi kufika hiyo sehemu kwa ajili ya kumzika mtu wake si ndio nikahoji huyo mchumba ake yupoje akanielezea aisee ni binamu yangu kabisa damu kabisa

Sasa wakuu nawaza hapa hakuna laana kutembea na mchumba wa binamu yangu tena walikuwa na uchumba rasmi, japo mimi simfahamu binamu yangu ila ndugu zangu wanamfahamu tena mzee wangu ndio anamfahamu kabisa mpk msibani alienda

Je niedelee na uhusiano hakuna shida yoyote ama nimpige chini… kichwa kinaniuma yaani huyu dada mmh
Bwana we! Endelea kumkaza. Binamu kaumaliza mwemdo.
 
Watu wanakulana mabinamu wewe unaogopa mchumba wa binamu tena marehemu binamu ?

Huyo oa kabisa, hata Mungu atakubariki.

Mnafanya mambo marahisi… siku hizi jamii imeelimika huoni itakuwa ni hatari
 
Back
Top Bottom