Nimetembea na mchumba wa Marehemu binamu yangu

Wakati unamfungua miguu hukuwaza ni dhambi ya Uzinzi, sa hivi unakuja na kisingizio Cha laana. [emoji57][emoji57][emoji57]

Nimeuliza tu mkuu.. ni binti mzuri ana sifa ya kuwa mke wangu ila nimepata hofu baada ya kujua hili
 
Nimeuliza tu mkuu.. ni binti mzuri ana sifa ya kuwa mke wangu ila nimepata hofu baada ya kujua hili

Nikakuuliza vizuri tu Unamuoa? Ukajibu ndio. Nikamwambia maliza Chapchap. Ila wewe unaleta uswahili kuanza kuulizia laana za uchumba .
 
Watu wanakulana mabinamu wewe unaogopa mchumba wa binamu tena marehemu binamu ?

Huyo oa kabisa, hata Mungu atakubariki.
 
Umeisha wewe na kizazi chako. Ng'ata mboo mpaka itoe damu utoe gundu. Seriously
 
Bwana we! Endelea kumkaza. Binamu kaumaliza mwemdo.
 
Watu wanakulana mabinamu wewe unaogopa mchumba wa binamu tena marehemu binamu ?

Huyo oa kabisa, hata Mungu atakubariki.

Mnafanya mambo marahisi… siku hizi jamii imeelimika huoni itakuwa ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…