Sasa hao wasiozalisha hao ndio inabidi tupambane nao kuwakomesha na kuwatokomeza, asiyezalisha na asile.Ngoja niangalie link aliyoweka kisha kwenye bookies wetu
Nina mashaka na ufahamu wako katika maswala ya uchumi,
Hata bila betting kuwepo still watu wanaoishi bila kuzalisha walikuwepo na wataendelea kuwepo. Hakuna nchi isiyo na watu wa aina hii hata nchi zisizoruhusu betting. Si kila mtu katika kila nchi ni mzalishaji.
Lakini uwepo wa watu hawa haimaanishi basi hakuna sekta ingine hazipo, wazalishaji wapo na wasiozalisha pia wapo.
Bet haitaki tamaa! Mm ni mmoja wa waliofanikiwa mkekabetnipe mbinu mkuu, ulifanya aje hadi faida ikaongezeka. wenzako tunaliwa hadi kwa odd ya 1.03
Hiyo 1.7 mil ungetuliza akili ungefika 10mil fasta! Mi nilianza na laki 2, sasa iv nazungumzia mil.18 mkekabet hadi wamenichokaMimi nilienda nikafika 1.7M kwa mtaji wa laki...nikaingia tamaa yaliyonikuta siri yangu
Ndio zangu mkuu..niliingia tamaa nikaipoteza yote..wakati ulitakiwa niende nayo taratibu tuHiyo 1.7 mil ungetuliza akili ungefika 10mil fasta! Mi nilianza na laki 2, sasa iv nazungumzia mil.18 mkekabet hadi wamenichoka
Jana ya ajax yenyewe tu walimpa more than 3 odds nikawawekea laki 4, ikaja more than a million
Bet inalipa sana
Hyo 1.7mil ungetafuta odds za kimaskini zile za 1.2, 1.3, 1.4 ungekuwa na uhakika wa kupata laki 2 hadi laki 4 kila baada ya mechi
Mm nimefanikiwa kupitia bet,Pole kijana. Nipe mfano wa mtu au watu waliotoboa maisha kwa kubeti . wanaoingiza pesa kwa kazi ndio hufanikiwa Na kutoboa sio kubeti . ila endeleeni siku mkiangukia pua ndio mtatubu Na kujua kiwa kubeti hufilisi! Akili na nguvu
Forex ulikuwa ni ujinga wa hali ya juu! Bet mpira unachezwa unauona, yaan mfano leo liverpool anacheza vs barcelona, na liverpool kapewa odds ya 4, so ukiweka mfano mil.1 unapata mil.4Hivi haka kauzi kanahusiana na wazee wa forex..maana hata yule mzee was forex alikujaga hivi hivi na stori za mashamba baadae utasikia natoa kozi...all in all uchumi unaoendeshwa na betting ni uchumi mfu .....BET for fun ila fanya kazi za kuingizia taifa...unawapotosha watoto
hongera!swali je, hizo odd 1.3 unazitafuta ktk mfumo gani ambao unakufanya ubet mara nyingi bila kupoteza.Bet haitaki tamaa! Mm ni mmoja wa waliofanikiwa mkekabet
Nilichofanya nilianza na mtaji wa laki 2, nikawa naweza odds za 1.3 au 1.4 au 1.5 maximum, so per match(bet) nilikuwa napata around 60000 hadi 70000 na kwa wiki nilikuwa nacheza mara 5 tu
Baada ya kufikisha mil.3 nikapandisha dau na kutupia mil.1 na faida ikawa laki 4 hadi 5 kwa mechi.
Leo hii nazungumzia mil.18 ambayo jumla nimewithdraw
Sio kuzitafuta ni jinsi ww mwenyewe unavyoweza kucalculate risk, mfano leo barca kapewa 1.9 kama atamfunga liverpool, so ww waeza ona kabisa barca anashinda na ndio unampahongera!swali je, hizo odd 1.3 unazitafuta ktk mfumo gani ambao unakufanya ubet mara nyingi bila kupoteza.
haya bhn but si rahisi ki hivyo. kwamba double chance?Sio kuzitafuta ni jinsi ww mwenyewe unavyoweza kucalculate risk, mfano leo barca kapewa 1.9 kama atamfunga liverpool, so ww waeza ona kabisa barca anashinda na ndio unampa
Sio double chance ni barca akishinda tu kawaida! Double chance ni barca ashinde au atoe draw na odds zake zinakuwa ndogo sana zaidi ya hiyohaya bhn but si rahisi ki hivyo. kwamba double chance?
1xbet barca ana 1.28Sio double chance ni barca akishinda tu kawaida! Double chance ni barca ashinde au atoe draw na odds zake zinakuwa ndogo sana zaidi ya hiyo
Double chance barca kapewa 1.13
Mkekabet ndio wamempa hivyo! Mkekabet wapo vizur sana kwenye malipo, yaan hata sekunde haiishi mpunga ushaingia1xbet barca ana 1.28
Dah mkuu mbona hili jibu la duka bovu kabisa???Sio kuzitafuta ni jinsi ww mwenyewe unavyoweza kucalculate risk, mfano leo barca kapewa 1.9 kama atamfunga liverpool, so ww waeza ona kabisa barca anashinda na ndio unampa
sawa mzeeSio double chance ni barca akishinda tu kawaida! Double chance ni barca ashinde au atoe draw na odds zake zinakuwa ndogo sana zaidi ya hiyo
Double chance barca kapewa 1.13
you repeat..??wew ni nani.?? ukisema wew kitu ndo kinakua hakiwezekanii.!??oooh my balls ..you are the cause of trump' trash words to africa homie..with yo narrow mind dude....unamjua bill walters wew..wilson perumal....dan tan or uncle raj...unajua kwanin dk leakey aliajiriwa premier bet..!!? kama hujui kaa kimyaaaa...acha watu na kaz zao...eti fibbonach..ujinga wa forex usiulete hapa
Hakuna biashara inayolipa kama betting muhimu ni kuacha tamaa na ujiwekee kanuni muhimu za uchezaji
Kwa mfano mimi kila mkeka sitaki uzidi 1.80 odds
Na hata mechi iwe na uhakika kiasi gani simpi direct win yoyote nacheza dc
Na odds ya ushindi ni under 2.5 HT inatoa sana hiyo
Muhimu ukishaina unakula usitake kujaribu odds nyingi utapigwa
Anza na laki moja ukiweka odds 1.80 unapata 150 faida ni 50 nakuhakikishia katika mwezi utakosa mara 4 au 5 tu
Nimekula milioni 11View attachment 1083040
Okay tuseme unachukua hizo odds za 1.2 na wager yako ni laki moja kila game lets assume hakuna kodi in winnings kwahio kila game faida ni elfu ishirini..Hiyo 1.7 mil ungetuliza akili ungefika 10mil fasta! Mi nilianza na laki 2, sasa iv nazungumzia mil.18 mkekabet hadi wamenichoka
Jana ya ajax yenyewe tu walimpa more than 3 odds nikawawekea laki 4, ikaja more than a million
Bet inalipa sana
Hyo 1.7mil ungetafuta odds za kimaskini zile za 1.2, 1.3, 1.4 ungekuwa na uhakika wa kupata laki 2 hadi laki 4 kila baada ya mechi