Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Okay tuseme unachukua hizo odds za 1.2 na wager yako ni laki moja kila game lets assume hakuna kodi in winnings kwahio kila game faida ni elfu ishirini..

Ukishinda game 5 una laki moja faida kwa bahati mbaya ya sita ukishindwa you are back to square one faida yote imepeperuka..., odds ndogo does not necessarily mean value
Lakini ile style yako ya arbitrage si ina odds ndogo nayo?
 
Lakini ile style yako ya arbitrage si ina odds ndogo nayo?
ile ni guarantee winnings unashinda kabla game haijaanza point ni kwamba mara nyingi timu kubwa zenye washabiki mara nyingi wanazipa odds ndogo hata kama hali halisi sio hivyo...

tukichukua timu kama Barcelona ilienda mwaka huu game nane bila kushindwa na hio ndio ilikuwa kubwa kwa wakati huo kwa ligi zote tano kwa msimu huu

✌✌
Girona ✅
Leganés ✅
Eibar ✅
Getafe ✅
Celta ✅
Levante ✅
Espanyol ✅
Villareal ✅
With today’s win, that’s 8 in a row!
Longest winning streak for Valverde, and longest current winning streak in Europe's top five leagues!#ForçaBarça

— FC Barcelona (@FCBarcelona) January 27, 2019

Mechi inayofuata ikawa against valencia ikawa Draw...

am sure hapo kuna games alikuwa anapewa odds za kipuuzi kabisa.., moral of the story mara nyingi ukubwa wa timu unapelekea kupewa odds za kipuuzi kuliko uhalisia, na kwenye mpira favourites wana-draw mara nyingi kuliko maelezo
 
ile ni guarantee winnings unashinda kabla game haijaanza point ni kwamba mara nyingi timu kubwa zenye washabiki mara nyingi wanazipa odds ndogo hata kama hali halisi sio hivyo...

tukichukua timu kama Barcelona ilienda mwaka huu game nane bila kushindwa na hio ndio ilikuwa kubwa kwa wakati huo kwa ligi zote tano kwa msimu huu

✌✌
Girona ✅
Leganés ✅
Eibar ✅
Getafe ✅
Celta ✅
Levante ✅
Espanyol ✅
Villareal ✅
With today’s win, that’s 8 in a row!
Longest winning streak for Valverde, and longest current winning streak in Europe's top five leagues!#ForçaBarça

— FC Barcelona (@FCBarcelona) January 27, 2019

Mechi inayofuata ikawa against valencia ikawa Draw...

am sure hapo kuna games alikuwa anapewa odds za kipuuzi kabisa.., moral of the story mara nyingi ukubwa wa timu unapelekea kupewa odds za kipuuzi kuliko uhalisia, na kwenye mpira favourites wana-draw mara nyingi kuliko maelezo
Hivi zile kampuni za kubet ambazo wale jamaa wa sure bets wana suggests sio kwamba ni feki aisee?
 
Hivi zile kampuni za kubet ambazo wale jamaa wa sure bets wana suggests sio kwamba ni feki aisee?
odds portal ni odds comparison website..., wanacompare odds kutoka makampuni karibia yote ya betting; faida yao ni watu wakijiunga na bookies kupitia kwao na wakicheza bookies wakipata faida wanawapa commission

kwahio hizo site ni za kweli na odds wanazotoa kwa wakati huo ni za kweli

Hio surebets ni moja ya services zao kuvutia wateja na ukitaka zaidi ya tips kumi kwa wiki nadhani wanakupa option ya kulipia which means more income generation kwao
 
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Asante sana mkuu. Nakushukuru sana kwa kunipa mbinu za kuweka steki tembo kwa odds sungura, matokeo nimeanza kuyaona katika mikeka niliyosuka baada ya kufuata ushauri wako. Hii mbinu yako inalipa. Katika mikeka 12 niliyotengeneza kwa kufuata ushauri wako, nimekosa 1 tu. Nimeliwa sana na mhindi kwa kukosa maarifa...nilikuwa naunga behewa la timu 20 nakosa moja kila siku. Afadhali umekuja kuniokoa. Ubarikiwe sana. Sample ya vimikeka ninavyosuka sasa hii hapa:
1086137
 
Asante sana mkuu. Nakushukuru sana kwa kunipa mbinu za kuweka steki tembo kwa odds sungura, matokeo nimeanza kuyaona katika mikeka niliyosuka baada ya kufuata ushauri wako. Hii mbinu yako inalipa. Katika mikeka 12 niliyotengeneza kwa kufuata ushauri wako, nimekosa 1 tu. Nimeliwa sana na mhindi kwa kukosa maarifa...nilikuwa naunga behewa la timu 20 nakosa moja kila siku. Afadhali umekuja kuniokoa. Ubarikiwe sana. Sample ya vimikeka ninavyosuka sasa hii hapa:
View attachment 1086137
Komaa mkuu, usiwe na tamaa!! Weka pesa zako sehemu salama usibweteke
 
Mm binafsi nimekuwa active kwenye kubet tangu mwaka 2017 mwanzoni ila kabla ya hapo sikuwa kubet kabisaa na ukae ukijua mm sio mshabiki sana wa mpira hata ukipanga kikosi uwanjani unambie nioneshe namba tatu au nane mm sijui kwa kwel

Nilianzaje kubet?
Kipindi nipo chuo niliuwa nawatembekea jmaaa zangu nakuta maghetoni wanakula vizuri kipindi mm boom limekata nikawakuta na mikeka ya makaratasi yan premer bet na mm nakumbuka siku iyo nilicopy mikeka kama 12 iv kwa jero jero ila sikula hata mmoja ikawaga ivyo kila nikitoka chuo naenda kukopi mikeka kusema ukwel ni mchezo wa bahati niliwai shuhudia jamaa anahakikisha mkeka alishinda 8.7M kwa jero tu ndio nikaamin kama kwel pesa ipo, ila narudia ni mchezo wa bahati

Basi mm nikaachaga kubet uko kwenye karatasi kwasababu ya muda nikaanza kubet online nikafungua acc premer kipindi iko jmaa zangu hawajui sana kuhusu online coz wao walikuwa karibu na vibanda vya kubet alafu wanaona uvivu kutumia na bando juu

Nikaanza kwa kutafuta platforms zinazotoa predictions pamoja na head to head mwanzo nilianza kukopi predictions zao ila nikawa si shindi
Ikumbukwe mm huwa na sukaga majamvi ya timu kumi kwenda mbele na stake yangu imezidi ni buku mbili
Mwanzo nilikuwa nabet kila itwayo leo
Baada ya kuona napigwa sana kwa kukopi predictions nikanza kuangalia mwenyewe head to head na chambua vizur labda zimekutana mara tano uyu kashinda mara tatu zote akiwa home na leo tupo home basi mm nampa uyo au kila wakikutana hawatoi magoli zaidi ya matatu basi naeka under au wakikutana wanafungana sana naeka both time to score nikawa nimepata njia nzuri sasa unakuta naeka mkeka hata timu 17 inaharibu moja stake ni mwisho buku mbili hapo ndo nimeeka kubwa, badae nikawa nikawa nabet weekend tu yan jmos na jpili.

Mara ya kwanza kushinda ilikuwa mwezi kama watatu iv iyo 2017 nilieka timu 15 moja haikucheza siku iyo nikashinda milioni moja na elfu 19 [emoji5][emoji5][emoji5] kwa stake ya jero tu nikaamin kama kwel kuna pesa nakumbuka jamaa zangu wengi sanaa waliansa kubet kipindi iko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengi waliacha njiani wachache bado wapo na baba yetu wa hiati(kanji)[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama wiki tatu badae nikashinda tena laki tatu kwa 25000 timu zilikuwa nane[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
Tangu nianze kubet sijawai pata hasra kwasababu na stake kidogo alafu nabet weekend tu mikeka miwili kila weekend

Sasa iv nataka niwe natafuta odds 20 tu nipunguze timu naamin ntafanya poa sana

Betting ni mchezo wa Bahati sanaaaaaaa ila kuna njia za kuongeza bahati
1. Stake kubwa timu moja ukizidi tano
2. Usibet direct win bet magoli kwenye magoli kuna options nyingi sana
3. Usiwe na tamaa ya kuongeza odds au stake pia jiekew limit sio kila siku unabet tu
4. Ukibet usifuatilie matokeo kaa mbali na mikeka yako ili usipate hamu ya kupandilia mikeka kama utachanika mm iyo inanisaidia sana nikibet nakuja kuchek mkeka keshoo yake mara nyingi sibetii timu kubwa na bet timu ambazo hata kanji hazijui
5. Pia fanya analysis kwanza kabla ya kubet japo ni mchezo wa bahati ila historia inajirudia

Asikudanganye mtu betting inalipa sanaaaaa kama unamtaji kama alivyofanya mleta mada,

Alafu betting sio utapeli ni kitu cha halalo utapeli ni izo tatu mzuka na kina biko. Mana betting unampa arsenal unaoba kabisa kapigwa inamna ulikosea
Pia tunalipa kodi kwenye kubet tena nyingi sana kama jamaa hapo amelipa pesa nyingi sana zaidi ya hata ya milioni 5

Huu ni mfano tu wa mkeka nilishinda mwezi wa kwanza hapo

View attachment 1083576
Iyo bonus unayoona ndio kodi ambayo nimekatwa hapo nilieka 2200 nikashinda laki nane kasoro kama buku tano

Ningetuma mikeka mingine niliyowai shinda sema nimebadili simu na uku ishafutikaga mwaka 2017 na 2018 ulikuwa mzuri kwangu ilikuwa karibia kila mwenzi nashinda mkeka kuanzia kiasi cha 300k kwenda juu, hii nikutokana na njia yangu ya kueka timu nyingi ni ngumu sana kushinda ila mwaka huu umekuwa mgumu kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umenichekesha eti nabeti timu ambazo hata kanji hazijui. Yaan timu kubwa jau sana hata mm nimegundua vitimu vidogo vidogo ndoo vinalipa. Kwa mfano vitimu vya Australia vinafunganaga sana kwahyo ukivipa both to score hupotezi.
 
Kwani mkuu ukibet maana yake ndio na kazi hufanyi? Kubet ni kama tu swala la ziada.
Mimi sijaongelea kuhusu masuala ya imani au dini, nimeongelea OBJECTIVELY and with a logical and common sense approach, hatuwezi tukawa na taifa la watu wanaotegemea kuishi bila kuzalisha bidhaa au huduma yoyote ile, its plain simple economics, hakuna uzalisha maana yake hakuna uchumi, unahitaji imani ndio ikwambie hii si sawa?
 
Mkuu nisaidie laki6 tu nilipe ada yangu ya semester ya pili hapa kwenye college nilipo nitakulipa tu japo Sina uhakika itakuwa lini ila nitakulipa tu mkuu wangu NISAIDIE
 
hizo stake ulizoweka umeniinspaya sana.. cjawahi kuweka zaidi ya 5000, leo ngoja nijaribu elf kumi
 
Gamble responsibly, mzee baba wewe umeingia namba mbil kwa watu wenye roho mbaya kwene betting ya Meridian namba moja ni binadamu Anaitwa Deo, huyo kaka ana roho ngumu anachezaga no goal mzee baba acha na stake anaweka kama zako.....
 
Gamble responsibly, mzee baba wewe umeingia namba mbil kwa watu wenye roho mbaya kwene betting ya Meridian namba moja ni binadamu Anaitwa Deo, huyo kaka ana roho ngumu anachezaga no goal mzee baba acha na stake anaweka kama zako.....
No goal labda kama anacheza in play betting dakika ya 80 huko, no goal kuanzia game inaanza?
 
Back
Top Bottom