Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....View attachment 1082595View attachment 1082596View attachment 1082597View attachment 1082598View attachment 1082599View attachment 1082600View attachment 1082601View attachment 1082602View attachment 1082603View attachment 1082604View attachment 1082605
Mkuu kama bado upo hewani naomba utupie mikeka ya leo tukopi hakuna namna kiongozi wangu. Sote tunajenga nyumba moja hakuna haja ya kugombea fito.
 
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....View attachment 1082595View attachment 1082596View attachment 1082597View attachment 1082598View attachment 1082599View attachment 1082600View attachment 1082601View attachment 1082602View attachment 1082603View attachment 1082604View attachment 1082605
Biashara iendelee ya upigaji,utawadanganya wajinga.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Parimatch wana option ya corner 4.5 first half.. Hii inatoa sana kwa timu kama Liverpool, Man city, Tottenham, ac Milan e.t.c zimenipa hela saana hizi timu msimu huu.
Option ya kona 4.5 first half ikoje kaka. Yani kupiga kona zenye idadi hio na kuendelea kwa timu zote mbili au
 
Option ya kona 4.5 first half ikoje kaka. Yani kupiga kona zenye idadi hio na kuendelea kwa timu zote mbili au
Idadi ya kona 5 kwa team zote mbili zikipatikana ni over zikiwa pungufu ni under
 
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....View attachment 1082595View attachment 1082596View attachment 1082597View attachment 1082598View attachment 1082599View attachment 1082600View attachment 1082601View attachment 1082602View attachment 1082603View attachment 1082604View attachment 1082605
[emoji39][emoji39][emoji39]
 
We jamaa mart89 inabidi uongezee "s" mwanzoni mwa jina lako iwe ni smart.
 
Wazee, leo ni siku nyingine tena ya kumtafuta Kanji. Leteni mikeka tukopi basi.
 
Hhahaha...Noma sana asee...Hata mtu ukila kwa muda fulani, utakuja kuliwa muda fulani...unaweza jikuta umpigwa au ngoma Droo.

Sasa ukijiuliza muda, presha[emoji134] balaaa...ukiwa laini laini magonjwa ya moyo, presha nje nje.

Unaweza kuangukia ama ulevi ili kupunguza mawazo ya ulovyoliwa.
Betting as an addiction huwa inasababisha other addictive behaviours kama ulevi, masterbation , drugs addiction n.k dopamine rush unayopata wakati wa kushinda na kufungwa ni mbaya sana . Inakufanya uwe katika excited state all the time. Ni ngumu sana kuacha kamari ukizingatia sasa hivi imesogezwa kiganjani . Mungu atunusuru tu
 
Betting as an addiction huwa inasababisha other addictive behaviours kama ulevi, masterbation , drugs addiction n.k dopamine rush unayopata wakati wa kushinda na kufungwa ni mbaya sana . Inakufanya uwe katika excited state all the time. Ni ngumu sana kuacha kamari ukizingatia sasa hivi imesogezwa kiganjani . Mungu atunusuru tu
Your statement has no scientific proof or evidence
 
Hakuna biashara inayolipa kama betting muhimu ni kuacha tamaa na ujiwekee kanuni muhimu za uchezaji

Kwa mfano mimi kila mkeka sitaki uzidi 1.80 odds

Na hata mechi iwe na uhakika kiasi gani simpi direct win yoyote nacheza dc

Na odds ya ushindi ni under 2.5 HT inatoa sana hiyo

Muhimu ukishaina unakula usitake kujaribu odds nyingi utapigwa

Anza na laki moja ukiweka odds 1.80 unapata 150 faida ni 50 nakuhakikishia katika mwezi utakosa mara 4 au 5 tu
Huna tofauti na mkulimanwa matikiti
 
Back
Top Bottom