Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo, kuna uwezekano mkubwa kwamba Tanzania inaweza kufikia hatua ya kutengeneza betri za saa. Kwa sasa, Tanzania ina madini muhimu kama graphite ambayo hutumika kutengeneza betri1. Hii ni hatua muhimu kuelekea kujenga uwezo wa ndani wa kutengeneza betri mbalimbali, ikiwemo za saa.Nje ya mada..
Hivi itafika siku Tanzania tuwe na uwezo wa kutengeneza betri ya saa?
Hili tukio tulihamishie kwako una mke na mtoto na unaishi na mdogo wako wa kiume, mwanamke aliyekuwa na mahusiano na wewe kwasasa ni jirani yako ameanza mahusiano na mdogo wako utafanyaje?Haya mtu mzima wewe
Mods ingawa siwaamini huu upuuzi wa watoto wa mama hawa please msiruhusu.Nilikuwa na uhusiano na msichana mmoja kwa muda mrefu, lakini tuliachana miaka mitatu iliyopita. Hivi karibuni, alihamia karibu na ninapoishi, na sasa ana mtoto na anaishi na mtu mwingine, ingawa mara nyingi hayupo nyumbani. Tumekuwa na mazoea ya kawaida, kama vile kufua nguo zangu na kuniletea chakula.
Baada ya miezi kadhaa, mdogo wake alikuja kuishi naye. Siku moja, nilimwona mdogo wake akichuma malimao kwenye mti wetu. Nilimuita nikachukua namba na tukaanza kuchati. Usiku mmoja, nilipokuwa nimelewa, nilimwita mdogo wake aje nyumbani kwangu. Alipofika, nilimvuta ndani nikakatupia kwenye sofa nikarumbua kitumbua kinguvu maana alikuwa kamevaa kanga na kichupi
Baada ya tukio hilo, tulianza kuchati na mdogo wake alikubali kuwa na mimi. Hata hivyo, dada yake aligundua mawasiliano yetu na akakasirika sana. Alimtimua mdogo wake na sasa kila mtu anajua kilichotokea, na mimi najisikia aibu.
Sasa, dada yake ananiangalia kwa hasira na ananilaumu, ingawa tulishaachana zamani. Naomba ushauri, je, huyu dada bado ana mapenzi na mimi? Kwa nini anakasirika ?
AU NIRUDISHE MAJESHI NYUMA NIENDELEE KULA TUH MAANA MZURI BANA UONGO MBAYA [emoji16]
Nashukuru kwa kunielewa, hapa tunabadilishana uzoefu, (experience' sharing), mimi marafiki zangu ni vijana am 63 yrs old lakini nawachangamsha akili, na siyo mwili hahahaaDaaah inauma
Siku hizi saa hazitumii betri.Nje ya mada..
Hivi itafika siku Tanzania tuwe na uwezo wa kutengeneza betri ya saa?
[emoji1]Nilikuwa na uhusiano na msichana mmoja kwa muda mrefu, lakini tuliachana miaka mitatu iliyopita. Hivi karibuni, alihamia karibu na ninapoishi, na sasa ana mtoto na anaishi na mtu mwingine, ingawa mara nyingi hayupo nyumbani. Tumekuwa na mazoea ya kawaida, kama vile kufua nguo zangu na kuniletea chakula.
Baada ya miezi kadhaa, mdogo wake alikuja kuishi naye. Siku moja, nilimwona mdogo wake akichuma malimao kwenye mti wetu. Nilimuita nikachukua namba na tukaanza kuchati. Usiku mmoja, nilipokuwa nimelewa, nilimwita mdogo wake aje nyumbani kwangu. Alipofika, nilimvuta ndani.
Baada ya tukio hilo, tulianza kuchati na mdogo wake alikubali kuwa na mimi. Hata hivyo, dada yake aligundua mawasiliano yetu na akakasirika sana. Alimtimua mdogo wake na sasa kila mtu anajua kilichotokea, na mimi najisikia aibu.
Sasa, dada yake ananiangalia kwa hasira na ananilaumu, ingawa tulishaachana zamani. Naomba ushauri, je, huyu dada bado ana mapenzi na mimi? Kwa nini anakasirika ?
AU NIRUDISHE MAJESHI NYUMA NIENDELEE KULA TUH MAANA MZURI BANA UONGO MBAYA
tamaa ndo zinazowaponza vijanaMdogo wake mzuri sasa me nifanyaje, halafu anachura flan flan hivi la kuvalia kanga yan sio kubwa Wala sio dogo daah akitmbea sasa [emoji39][emoji7]