Nimetengwa baada ya baba yangu kufariki



Pole sana, apo waombe hao ndugu zako wakusaidie katika masomo yako usiende kama unataka mali hutopata msaada wowote na kisheria kama hakuna ndugu wa baba yako anayekutambua unakua hauna haki ya kurithi izo mali usiwaze sana kiasi wanachingiza kwa mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…