Nimethibitisha kuwa hela ikiongezeka na matumizi yanaongezeka

Nimethibitisha kuwa hela ikiongezeka na matumizi yanaongezeka

Dx and Rx

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
1,323
Reaction score
3,143
Heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya wana JamiiForums wote. Bika shaka mpo salama na mnaendelea vyema na heka heka za kusherehekea hizi sikukuu, kwa wale wenye changamoto za hapa na pale, Mungu awatangulie.

Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka, mwaka huu umekuwa ni mwaka mwema(mzuri) sana katika historia ya maisha yangu kwani umekuwa ni mwaka wenye milango ya riziki kufunguka na kuwa na uhakika wa milo 2 kwa siku.

Nimejitathmini kwa kipindi cha kuanzia February hadi mwezi huu kwa kuchakata data za matumizi yote ya kila siku ikiwemo Malazi(kodi ya pango), Mavazi, Chakula na mengineyo(kusaidia ndugu, wazazi, michango ya harusi, rambirambi, ada za shule, n.k) nimepata matokeo kuwa ninatumia wastani wa 2.5M kwa mwezi. Najikaza kupunguza matumizi lakini wapi, ngoma inagoma.

Tushirikishane mbinu za kubana matumizi maana mbinu zangu zimegoma.
 
Heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya wana JamiiForums wote. Bika shaka mpo salama na mnaendelea vyema na heka heka za kusherehekea hizi sikukuu, kwa wale wenye changamoto za hapa na pale, Mungu awatangulie.

Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka, mwaka huu umekuwa ni mwaka mwema(mzuri) sana katika historia ya maisha yangu kwani umekuwa ni mwaka wenye milango ya riziki kufunguka na kuwa na uhakika wa milo 2 kwa siku.

Nimejitathmini kwa kipindi cha kuanzia February hadi mwezi huu kwa kuchakata data za matumizi yote ya kila siku ikiwemo Malazi(kodi ya pango), Mavazi, Chakula na mengineyo(kusaidia ndugu, wazazi, michango ya harusi, rambirambi, ada za shule, n.k) nimepata matokeo kuwa ninatumia wastani wa 2.5M kwa mwezi. Najikaza kupunguza matumizi lakini wapi, ngoma inagoma.

Tushirikishane mbinu za kubana matumizi maana mbinu zangu zimegoma.
Pesa ikiongezeka mahitaji huongezeka hata yasiyo na ulazima, yani pesa inakushawishi uwe na kiherehere cha matumizi hovyo hovyo maana unaamini utazipata tena.

Kujiamini zaidi na kupelekea kuwa mafia wa kila aina ya uovu.

Kila jambo liwe na kiasi utaenjoyi sana maisha
 
Anyway, kipato kikiwa kikubwa na matumizi yanaongezeka pia.

Nilikuwa nasikia tu sasa nimethibitisha, halafu kale kamsemo cha "pata hela tujue tabia yako" ndio kamekuwa fimbo ya kuadhibu
 
Kama kipato kinaongezeka sioni haja ya kubana matumizi
Ili iwe kawaida inabidi matumizi yawe kidogo ukilinganisha na unachopata. Sasa matumizi yanazidi kipato, hapo sio kawaida
 
Pesa ikiongezeka mahitaji huongezeka hata yasiyo na ulazima, yani pesa inakushawishi uwe na kiherehere cha matumizi hovyo hovyo maana unaamini utazipata tena.

Kujiamini zaidi na kupelekea kuwa mafia wa kila aina ya uovu.

Kila jambo liwe na kiasi utaenjoyi sana maisha
Uko sahihi mkuu, ngoja nijaribu kuishi kwenye huo mstari wa mwisho.
 
Hilo lipo wazi kabisa. Kila mtu anaishi/anafanya mambo yanayoenda na kipato chake.

As kipato kinakuwa/kupungua na mambo yanabadilika. Huwa tuna adjust kwendana na situation.
 
Heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya wana JamiiForums wote. Bika shaka mpo salama na mnaendelea vyema na heka heka za kusherehekea hizi sikukuu, kwa wale wenye changamoto za hapa na pale, Mungu awatangulie.

Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka, mwaka huu umekuwa ni mwaka mwema(mzuri) sana katika historia ya maisha yangu kwani umekuwa ni mwaka wenye milango ya riziki kufunguka na kuwa na uhakika wa milo 2 kwa siku.

Nimejitathmini kwa kipindi cha kuanzia February hadi mwezi huu kwa kuchakata data za matumizi yote ya kila siku ikiwemo Malazi(kodi ya pango), Mavazi, Chakula na mengineyo(kusaidia ndugu, wazazi, michango ya harusi, rambirambi, ada za shule, n.k) nimepata matokeo kuwa ninatumia wastani wa 2.5M kwa mwezi. Najikaza kupunguza matumizi lakini wapi, ngoma inagoma.

Tushirikishane mbinu za kubana matumizi maana mbinu zangu zimegoma.
PARKSON LAW
 
KAZI ni kipimo cha utu.kwa mwaka ni 30,000,000. Safi sana hapo akiba ni nyingi zaidi kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom