Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Kumbe uliondoka nyumbani ukiwa mkubwa hivoooMwanangu mbona unacheka
Kabisa ila nashukuru wewe umeondoka mapemaKumbe uliondoka nyumbani ukiwa mkubwa hivooo
40 sio haba
Introvert kiwango cha juuShida yangu mimi Ni moja tu nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha Sana lakini nikiwa na mtu mwingine yeyote basi sitakiwi kuwa nae zaidi ya masaa 8 lasivyo napoteza mood ,nikipoteza mood dawa yake lazima niwe mwenyewe kwa kipindi flani hivi.
Shida nyingine Ni first priority kwenye maisha yangu Ni furaha na siwezi kuhandle stress za watu yaani ukinijia umenuna au huna furaha mbele yangu binafsi sitaki hata kuiona sura yako, nakaa mbali kabisa na kwa uzoefu wangu wanawake Ni watu wa mood swings sasa imagine mtu anaeyependa furaha akutane na mtu mwenye mastress yake nyumba moja yaan naweza hata kukuachia nyumba niende huko mbali ili mradi tu niwe na furaha. La mwisho sipendi drama tena sipendi kweli kweli.
Hofu yangu sio kuoa hofu yangu Ni nioe mtu halafu awe source ya stress, nioe mtu asiye na furaha kwahiyo MDA wote yupo busy kunikera [emoji846][emoji846][emoji846]
[emoji23][emoji23][emoji23]Umegonga ikulu mwee
Si ulinifukuza tangu nikiwa underageKabisa ila nashukuru wewe umeondoka mapema
wewe ni mzee sasa sio kijana.Nlivokuwa nna miaka 18 nlikuwa najisemea nikifika miaka 25 nianze kujitegemea,, baada ya kufika 25 nikasema nikifika 31 ndo naweza kuoa,, now niko 32
Mzima mkuu siku nyingi sana sijamuona kwa jukwaaSasa atazaa na kusomesha lini
Nipo ulweso sema nachungulia!Mzima mkuu siku nyingi sana sijamuona kwa jukwaa
Kwema lakini!Nipo ulweso sema nachungulia!
Kwema kabisa we mzimaKwema lakini!
Mie sijambo kabisa, nipo humu mdogo mdogo kama hiviKwema kabisa we mzima
Sasa si unaona vile umekuwa strongSi ulinifukuza tangu nikiwa underage
Ni stronger sema. Maana tulizaliwa tukiwa strong tayariSasa si unaona vile umekuwa strong
Ni stronger sema. Maana tulizaliwa tukiwa strong tayari
Hahahahahha. What about no for an answer.?Ninawiwa kuku propose.
Do I get YES for an answer ?
Hahahhahahahhahahaahhahahahhah.Kamtu unakakuta unashindwa kuelewa ni mtu mzima au mtoto, ukija kujumlisha na akili kugota ndio kabisaaaa unaweza hisi ana 20 kumbe 40[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Introvert kiwango cha juu
Hapana,