Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Nimetimiza miaka 32, muda wa kuoa ndio umewadia sasa

Shida yangu mimi Ni moja tu nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha Sana lakini nikiwa na mtu mwingine yeyote basi sitakiwi kuwa nae zaidi ya masaa 8 lasivyo napoteza mood ,nikipoteza mood dawa yake lazima niwe mwenyewe kwa kipindi flani hivi.

Shida nyingine Ni first priority kwenye maisha yangu Ni furaha na siwezi kuhandle stress za watu yaani ukinijia umenuna au huna furaha mbele yangu binafsi sitaki hata kuiona sura yako, nakaa mbali kabisa na kwa uzoefu wangu wanawake Ni watu wa mood swings sasa imagine mtu anaeyependa furaha akutane na mtu mwenye mastress yake nyumba moja yaan naweza hata kukuachia nyumba niende huko mbali ili mradi tu niwe na furaha. La mwisho sipendi drama tena sipendi kweli kweli.

Hofu yangu sio kuoa hofu yangu Ni nioe mtu halafu awe source ya stress, nioe mtu asiye na furaha kwahiyo MDA wote yupo busy kunikera [emoji846][emoji846][emoji846]
Introvert kiwango cha juu
 
Kamtu unakakuta unashindwa kuelewa ni mtu mzima au mtoto, ukija kujumlisha na akili kugota ndio kabisaaaa unaweza hisi ana 20 kumbe 40[emoji134][emoji134][emoji134]
Hahahhahahahhahahaahhahahahhah.
 
Hahahahahha. What about no for an answer.?

Unataka tukaishi kwenye lile gheto Dreka?
Hapana,
mtoto mzuri kama wewe siwezi kukuweka kwenye ghetto maana itakuwa ni disrespect.

But I may not be in position to take NO for an answer.
 
Back
Top Bottom