Valenciaga
Member
- Jul 4, 2020
- 44
- 61
Habari za muda huu wakuu,
Katika mihangaiko ya maisha na katika, harakati za kudai Haki yangu, nimejikuta nikitishiwa kuuwawa, lakini tatizo kuu! hakuna ushahidi wowote.
Je, kuna hatua gani za kufata kisheria katika hali kama hii?
Katika mihangaiko ya maisha na katika, harakati za kudai Haki yangu, nimejikuta nikitishiwa kuuwawa, lakini tatizo kuu! hakuna ushahidi wowote.
Je, kuna hatua gani za kufata kisheria katika hali kama hii?