Nimetoa Wosia kwa Mwanangu, usomeni hapa!

Mzee anaongea vitu vingine havimake sense na vingine haviapply kwa hawa chips kuku,,,mzee kazaliwa kizazi cha giza mwambie mambo yamebadilika,,,,,,incase mtu unaona huelewi elewi moja haikai mbili haisimami baki SINGLE 🀝enjoy maisha life lenyew fupi hili yanini kujistress na mtu uliyekutana nae ukubwani bwana wee.
 
wosia wa mama Kwa mtoto wakeπŸ‘‡

"mwanangu nilikutana na mama Yako akiwa bikra"

jaji mfawidhi wewe wakike au wakiume?
 
Namba 13 sio wosia umemtambia
 
wosia wa mama Kwa mtoto wakeπŸ‘‡

"mwanangu nilikutana na mama Yako akiwa bikra"

jaji mfawidhi wewe wakike au wakiume?
Diddy toka jana naogopa kukujibu, hivi Diamond alipotoka kwako anachechemea , ni ganzi ilimpata mguuni ama alijipaka mafuta yakawa yanamuwasha?
 
Diddy toka jana naogopa kukujibu, hivi Diamond alipotoka kwako anachechemea , ni ganzi ilimpata mguuni ama alijipaka mafuta yakawa yanamuwasha?
kuna kipengele tulifanya anaonekana hajazoea.ndiomana alichechemea.

nijibu swali langu sasa
 
kuna kipengele tulifanya anaonekana hajazoea.ndiomana alichechemea.

nijibu swali langu sasa
Sasa Diddy, hili jina lako unaogopesha sana, mimi nakuogopa, hata kukujibu hapa nimejikaza tu, mda wowte unampaka mtu mafuta.
 
Mbona ghafla kageuka kuwa Baba tena?
 
Mkuu mwambie mwanao atafute mwanamke mwenye makalio makubwa, tabia njema zinafundishika. Yapo makanisa, misikiti na jela pia ni chuo cha kurekebisha tabia
Naunga mkono hoja. Uzi ufungwe Sasa.

Wosia mrefu sana hata mtoto hatausoma. Atakuja kuusoma Tyr kashaoa na amekalia moto anakumbuka na kujutia laiti ningeusoma wote nisingeoa hii mbwa.

Too late 😭 😭 πŸ˜” πŸ˜”!!
 
Naunga mkono hoja. Uzi ufungwe Sasa.

Wosia mrefu sana hata mtoto hatausoma. Atakuja kuusoma Tyr kashaoa na amekalia moto anakumbuka na kujutia laiti ningeusoma wote nisingeoa hii mbwa.

Too late 😭 😭 πŸ˜” πŸ˜”!!
Ukifa mkataba wenu mliofunga kanisa katoliki na mkeo umekufa.
anakuwa huru , anaolewa na jamaa ambaye ulimpora na kama akiona hataki ndoa basi vijana wanajipigia show maana mda huo mjane anakuwa LISHANGAZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…