Ugumu unauleta wewe Mkuu
Ati miti iniozeshee mabati yangu au iifanye nyumba yangu kuwa na nyufa,kisaaa,!!!!Miti ndio inaleta thamani ya kiwanja chake...Aseee!!!kwangu mimi hio ni sawasawa na mende kuangusha kabati
Mimi jirani yangu ana mti mkubwa saaana wa mzambarao siku majani yakianza kudondoka na kunichafulia Ua wangu tu,Fasta kibarua anakweya juu na panga na kukata matawi yoote
Huyo jirani yangu mwenye huo mti alishanitishia polisi mara kuniroga mara aniletee barua ya wito kwa balozi hadi kachemka mwenyewe
Kwasasa kashanizoea[emoji1321]