Nimetoka kusuluhisha ugomvi mkubwa wa Mdogo wangu na mke wake

Bado atavuta bange sasa
 
Pombe , Bangi. Sigara ,Mirungi. Kwa ujumla wake vinasababisha wanaume washindwe kusimamisha mboo. Zikisimama ni legelege, uwezo wa kuhimili tendo unapungua, hamu inapungua , Kiwango cha Shahawa kinapungua, kiwango cha mbengu kinapungua, Saizi ya korodani inapungua,

KWAKUA HESHIMA YA MWANAMKE UNAIWEKA KITAMDANI....

Basi mambo hayo yanafanya mwanamke ama

[emoji117]Akudharau na asikuheshim
[emoji117]Akuchukulie poa kiasi kwamba asijali
[emoji117]WAHUNI WAKUSAIDIE.

Na hata wasipokusaidia, kwakua wee humtombi ,akaridhika, nasasa anakudharau,,, Utaanza kutojiamini. Matokeo yake ni MAWIVUUUUU.

Eeehhh kwan unadhan kwako kafata Kula?kuvaa??Kulala???.,... Hata kwao anavipata.

Kwako kafata MASHINE..
 
Hii story hujai balance kabisa. Kila upande wa story ungepaswa kuwa response hapo tungejua jinsi ambavyo kweli wazee wazima mlivyoaibika.
 
Aisee huijui bangi wewe.
 
Sasa msaada mbona hamjautoa hapo ,,,ningekuwa mimi ningehakikisha anabadili tabia kwanza anaachana na hyo mirungi sio rahs lkn njia nzuri zaidi kufanya ibada yani nahakikisha hakosi ibada badae kidogo tabia itabadilika au njia ambayo si nzuri sana ita wanajeshi wale akae ndani mwezi. Mmoja aisee atanyoooka sana ila naogopa kwa mtu mzima njia hii anaweza kurudi na hasira sana ila kwa mtoto mtukutu anayooka vizuri...
 
Mzee amekasirika ile mbaya mzee wetu haoendagi masihara ameondoka kwa Hasira
 
Mirungi ina handasi mbaya sana na unatakiwa uwe na pesa addiction ni mbaya sema huyo ashukuru anapata usingizi mi watu nawajua hawana time na mademu wala hawalali kazi kusaga tu

mtu analala saa tisa na 11 yuko macho kuanzia saa nne wako nje wanaita kijamvi vijana wa pwani watanielewa hapo kuna box za Big G na maji ya mabiri di watu wanasaga mpaka saa tisa mbaya sana mtu anakula mpaka ya 15k kwa kweli😳😳😳😳pesa hamna ukimka kuna majani kama kuna tumbiri walikuwa wanacheza juu ya mtu

hii imemtia umaskini jamaa yangu mpaka kauza vitu vyake vya ndani hawezi kuacha shavu limekuwa kama kiuno cha boxerπŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜• yaani kama mpira ni kubwa mno
 
Pombe kiasi kidogo ni aphrodisiac..nyingi kupitiliza ndo yenye shida.
 
kamvumilia miaka 4, pasipo kumfanyia uhuni
Simuwazii mwanamke mabaya ila sitaki nihitimishe kuwa huo ndo ukweli 100% nikilinganisha na maelezo ya mdogo wako.

Kaa na dogo mzungumze kiume, usikute hata chanzo cha mirungi ni mwanamke. Usimchukulie poa mwanamke linapokuja suala la kuwa innocent, wana uwezo mkubwa sana wa kuaminika na kuonekana hawana makosa.

Kitendo cha kuwa na ujasiri wa kusema kuwa haniridhishi na mdogo wako kusema kuwa kwa muda mrefu amekuwa akitaka waachane usihitimishe kuwa dogo ndo tatizo 100%, kama sio kweli kwa 100% mtampoteza mdogo wenu na mawazo.

Mwanamke akipiga yowe ukawa wa kwanza kufika ukamkuta kadondosha chungu huku kajilowesha maji kipande cha nguo yake kikiwa pembeni kabla hujamwinua au kumsaidia na kumuuliza ni nn shida, hakikisha kuna mtu mwingine kafika au mazingira ni salama maana wanaokuja nyuma wanaweza hata wasimuulize shida ni nn wakakuua wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…