Huyo hawez kuwa ametoka Mbeya. Sio kwa ushamba huo.Habari ya Mbeya mkuu!!
Hata mimi mkuu ninawaswasi na huyo Aise, labda kapata.wewe ndo yule aisee ulietoka kigoma naulizia kama umepata kazi? au mimi ndo sijakuelewa
Nakushauri kakate tiketi ya kurudi kabisa maanake hao warembo watakufilisi uanze kutusumbua.Habari wakuu
Aiseeh nmekuja dar kutoka mkoani kwa likizo,ni kitambo kidogo sjafika,naona miundo mbinu ya kutosha...heko kwa baba jesca...yaan ile nmeshuka ikabidi nianze mizunguko ya mtaan kwanza aseeh aseeeh sijawahi ona wadada warembo hivi,i feel like am from a zombie land nmeletwa kwenye quarantine zone....dar ladies are superb ,ikanibidi nianzee kutembea viunga vya jiji aseeeh aseeh kila mdada ni mzuri...young and beauty..sjafika bado posta nahisi huko itakuwa balaa tupu.....
Huko nlikotoka ni zombie land kabisa
Umetoka nyanda za juu kusini?Habari wakuu
Aiseeh nmekuja dar kutoka mkoani kwa likizo,ni kitambo kidogo sjafika,naona miundo mbinu ya kutosha...heko kwa baba jesca...yaan ile nmeshuka ikabidi nianze mizunguko ya mtaan kwanza aseeh aseeeh sijawahi ona wadada warembo hivi,i feel like am from a zombie land nmeletwa kwenye quarantine zone....dar ladies are superb ,ikanibidi nianzee kutembea viunga vya jiji aseeeh aseeh kila mdada ni mzuri...young and beauty..sjafika bado posta nahisi huko itakuwa balaa tupu.....
Huko nlikotoka ni zombie land kabisa
hahahhhahaa kitu kyela bwanaHabari ya Mbeya mkuu!!
Watu wana utan na Mbeya...unadhan Mby kuna vitu fya mwalomwalo Eeh!!Habari ya Mbeya mkuu!!