Mb-one
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 883
- 1,291
Habari wakuu
Aiseeh nmekuja dar kutoka mkoani kwa likizo,ni kitambo kidogo sjafika,naona miundo mbinu ya kutosha...heko kwa baba jesca...yaan ile nmeshuka ikabidi nianze mizunguko ya mtaan kwanza aseeh aseeeh sijawahi ona wadada warembo hivi,i feel like am from a zombie land nmeletwa kwenye quarantine zone....dar ladies are superb ,ikanibidi nianzee kutembea viunga vya jiji aseeeh aseeh kila mdada ni mzuri...young and beauty..sjafika bado posta nahisi huko itakuwa balaa tupu.....
Huko nlikotoka ni zombie land kabisa
Aiseeh nmekuja dar kutoka mkoani kwa likizo,ni kitambo kidogo sjafika,naona miundo mbinu ya kutosha...heko kwa baba jesca...yaan ile nmeshuka ikabidi nianze mizunguko ya mtaan kwanza aseeh aseeeh sijawahi ona wadada warembo hivi,i feel like am from a zombie land nmeletwa kwenye quarantine zone....dar ladies are superb ,ikanibidi nianzee kutembea viunga vya jiji aseeeh aseeh kila mdada ni mzuri...young and beauty..sjafika bado posta nahisi huko itakuwa balaa tupu.....
Huko nlikotoka ni zombie land kabisa