mlete pm au nianze nawewe...ππ π π π usinichonganishe na mshangazi
TECNO wameshaanza kutengeneza smartphone?
Hapana, bado wanatengeneza sumu za panya.TECNO wameshaanza kutengeneza smartphone?
Mi hutaniweza, nikivurugwa ardhi inakuwa juu mbingu chinimlete pm au nianze nawewe...π
fungua pm nione hiyo ardhi mbingu kama hautaanza kulia kwa vikwikwi..πMi hutaniweza, nikivurugwa ardhi inakuwa juu mbingu chini
Utabonyeza mpaka APPLE ibonyee,,,hakuna kitu venye napata..!Unabonyeza wapi kwenye simu yako ili uanze kulipwa?
nb. Natumia APPLE IPHONE 16s
mimi sio kivulana mimi nili mjomba..πUSIJISUMBUE coz VIVULANA kibao vya JF vimejazana PM kwangu na sivipi pumzi hata robo
Kupitia hii comment yako ndio nimekujua sasa japo mwanzo sikua na uhakika.
mimi sio kivulana mimi nili mjomba..
Aloo
Kanzu mpya mwamba yule yuleMshangazi una genye si za nchi hii,
Acheni kumlisha mwenzenu matangoporiUkiwa expert member utaanza kulipwa
dah! unanishushia heshima we binti kumbe hujakuwa bado!Eeh jamani. Kavulana kanajitutumua.
Wakuu Askarimaji na nzalendo njooni muone kavulana ka jf kanajitutumua