Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funga hiyo pm yako ,binafsi sikutaki hata kwa dawa.USIJISUMBUE coz VIVULANA kibao vya JF vimejazana PM kwangu na sivipi pumzi hata robo
Funga pm yako asee
Funga tu , haina haja wala mtu wenye akili awezi kukufuata huko pmHata sijaifunga. Nimeamua kuachana nayo kabisa. coz watu wanantukana tu. Inaonyesha 28 ya rangi nyekundu na mie nimeipotezea
Hata mwenye smart kitochi anaweza tumia JF na akalipwa...Unabonyeza wapi kwenye simu yako ili uanze kulipwa?
nb. Natumia APPLE IPHONE 16s
Kumekuchaaaaa!!! Unasanuaa wanaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshangazi [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafahamu sana JF, ukaamua kuja kama shangazi wakuone vizuri
Omba usikutane na wale umeisha wajua PM kupitia zao zingine..
Kuna mwenzako nae.. Kazi njema..
Nje ya BOKSI hii [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji7][emoji7][emoji7]
Kumbe bado hajaanza kulipwa kama sisi.Ukifikia level ya kulipwa kama sisi wengine useme ili tujue tupo wangapi humu
😂Anza kutumia Tecno utaanza kulipwa
Eeeh yamekuwa hayoMshangazi una genye si za nchi hii,
Bado ana kazi kubwa ya kufanya aiseeKumbe bado hajaanza kulipwa kama sisi.