Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Status
Not open for further replies.
Mbona povu jingi wewe dada ukizaliwa na sura ya limao wewe ni mbaya tuu acha wanawake wazuri wasifiwe acha wivu
Nani alikwambia binadamu tunafanana kama mapanya buku au ngiri etc kila
Binadamu na sura yake ndo maana una ambiwa ukitaka kuoa chagua angalau mwenye mvuto usije kuharibiwa watoto mwishoni uje kulaimu kama wewe huku huna namna jikubali na hali yako acha wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe unasura ya fenesi halafu hao watoto wakafanana na wewe utafanya nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nawashangaa hawa watu wanaojitia hasira kisa mtoa mada kasema hakuna wanawake bongo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..ni kama vile hawajafahamu alichokusudia....kifupi,anajaribu kusema kwamba wanawake wa rwanda wana class kuliko hawa wa bongo ukizingatia urembo na uzuri kwa jumla..sio kama alimaanisha wananchi wote wa bongo wana dushe. [emoji16]...

ila,tembea Eritrea mkuu na usilete mrejesho...
 
Uzi wa 2014 watu Bado wana reply Leo!
Jamaa mpaka alishazeeka
 
Rwanda ni konyo
IMG-20230524-WA0014.jpg
1682682053314.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom