Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

Mikwara nyuma ya keyboard
 

Mimi namuunga mkono bro robert heriel sitakuja pokea mahali ya mtoto wangu wa kike kama nitampata. Haya mavitu ya ovyo mno hayana hata mantiki
 
Umemaliza mkuu...wewe ndio mwenye kuamua maisha yako,huyu mzee njaa yake ndio imekufanya usanuke...mimi nlikaa 8yrz bila kufika kwao ila baadhi ya ndgu zake walinijua,baba mkwe aliniambia mahari nilipe ya kimila tu...kuona familia maskini ni kujiongezea matatizo
Usinitishe bhanaaa, kwani nilibaka?
Mimba ni matokeo ya nyege zetu, haina lawama hiyo!
 
Hao wazenji kesi za kulawiti wanamalizana kimyakimya...hawana lolote
 
Hili balaa
 
Waha ni wanga haratariiii nyie mnamshaurii kwa mlengo wa macho ya nyama
Hawa watu wasikienii
 
Kama mama mkwe hana shida na mke hana shida basi achana na huyo dingi. Ni stress tu za maisha.

Tunza familia yako achana na huyo dingi.
Nyie hawa sio watu wazurii ,washirikina sio pouwa
 
Wazee wengine huwafanya watoto wao wa kike ni mtaji
Nalog off
 
Mimi namuunga mkono bro robert heriel sitakuja pokea mahali ya mtoto wangu wa kike kama nitampata. Haya mavitu ya ovyo mno hayana hata mantiki
Hakuna tusi baya ambalo binti yako atatukanwa likamuumiza yeye na wewe pamoja kama kumuozesha bure au kumuozesha kwa mahari sawa na bei ya kununua changudoa. Mzazi taja mahari reasonable kwa kulingana na uchumi wa mkweo.
 
Ishawah nikuta hii ,siku nzima ilivurugika aisee siku ya kutoa mahari haitakiw muende watu wenye hasira maana wazaz wa bint wanakela case yangu nilimpa bint mimba ina 8 month ndo naenda kujitambulisha wabena noma kunamjomba wake wife alikuwa anakiherehere balaaa niliondoka kwa hasira mshenga alifanya kaz ya ziada kuja kuniomba nisitumie hasira bint akawa analia tu
 
Wewe ndo unawajua waha sasa ,hao watu wanaubaguz Sana kwa kabila lingine naandika haya nikiwa na experience ya kuish nao
 
Hilo lizee Ni Li ujinga la karne

Tuna mzee mingi mipuuzi tu huku mitaani

Mpaka unajiuliza huyu haoni uzee Ni busara

Huyo mzee hana busara hana stara hana ubinadamu yaani Ni mjinga tu

Pole
 
Haya mambo huwa siyapend ila kuna mmoja kajiingiza kinguvu wakat mimi huwa sinaga ratiba ya haya mambo,watakubal tu yeye na familia yake,bahat nzur baba mkwe hayupo
Hili kama langu tu nna binti ananielewa na anaforce nimuoe an kanibana na ana mama ila hana baba lakin pia mm nasom chuo na sina mpango wa kuoa kaja gheto naishi nae ila wao wanajuh mtoto wao yuko mjini kikazi hàpa nasubl nione nini ni nini
 
Hili kama langu tu nna binti ananielewa na anaforce nimuoe an kanibana na ana mama ila hana baba lakin pia mm nasom chuo na sina mpango wa kuoa kaja gheto naishi nae ila wao wanajuh mtoto wao yuko mjini kikazi hàpa nasubl nione nini ni nini
Kwanza kabisa hakikisha humpi mimba kama ni kumeza p2 mmezeshe kila siku au akachome sindano za uzazi wa mpango maana akipata mimba atakuletea shida

Sahv mimi naishi nje ya malengo
 
KWAni
Hakuna tusi baya ambalo binti yako atatukanwa likamuumiza yeye na wewe pamoja kama kumuozesha bure au kumuozesha kwa mahari sawa na bei ya kununua changudoa. Mzazi taja mahari reasonable kwa kulingana na uchumi wa mkweo.



Kwanini upokee pesa KWA ajili ya binti YAKO hujanipa sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…