Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

Wewe ulikosea na ukazidi kukosa

Muulize huyo baba mkwe alimuoaje mkewe?

Kimsingi sisi wa mjini tumekiuka misingi huku tukitaka hao wazee eatupokee kisa mtoto wao aolewe hapana.

Wewe unadhani yeye hakukasirika? Mbona alikupokea
Badilika
 
Mbaya zaidi ntalazimika kumuacha mtoto wao kwa makosa ya baba yake
Kosa kubwa sana hilo Mkuu huyo mzee muhuni hachana nae mbona mama mkwe hana shida huyo mwanamke anamapenzi ya dhati kwa uzoefu wangu
 
Wewe ulikosea na ukazidi kukosa

Muulize huyo baba mkwe alimuoaje mkewe?

Kimsingi sisi wa mjini tumekiuka misingi huku tukitaka hao wazee eatupokee kisa mtoto wao aolewe hapana.

Wewe unadhani yeye hakukasirika? Mbona alikupokea
Badilika
Kwani huyo mzee alioa mwaka huu?
Mambo yanabadilika kutokana na muda na mazingira.
 
N
Pole best. Mke anakupenda Kwa dhati nadhani mpende pia. Wazazi wake fanya kuwasamehe lakini usiende tena kigoma. Mwisho funga ndoa harali ikibidi bila hata wazazi wake kuwepo ili likitokea la kutokea uwe on safe place
Unamdanganya. Ndoa atafungaje bila wazazi?. Huoni hapo ndio itakuwa balaa?
 
Pole sana.
Kwanza hongera kumpata mzee mshenga muelewa,mvumilivu na anaejua mila za huko.

Pili Maisha sio kila ukitakacho ndicho utakachokipata. Namaanisha umempata mwenza kama unampenda familia yako itaanzia hapo. Msahau baba yake kuwa na undugu nae. Wewe focus kutengeneza familia yako iliyosimama. Baba yake hata mngekuwa sawa bado InabaKi wewe na familia yako tu,wewe,mkeo na wanao.
Labda tu ni vile vijana wa siku hizi kuoa ni mtihani mwingine. Usione hiyo ikawa sababu ya kuacha familia uliyoianza.
Kumbuka Wewe unamuoa huyo binti na utatengeneza familia na huyo mkeo ,sio babaake.

Mwisho mtumie vizuri huyo mshenga wako hata kumuuliza namna ya inavyotakiwa iwe. Ksbb unaweza kuamua kuishi hivi unavyosema hapa bado ikawa tatizo kwako.

Niaonavyo hakuna namna nyingine nzuri zaidi ya kutafuta milioni 3 au 2.5. Nenda tena na yule mzee mshenga akakuwakilishe. Katoe mahali hiyo. Naamini nae mzee hasira zitakuwa zimeshuka. Hakuna namma nyingine nzuri kutafuta kuishi kwa amani zaidi ya kumalizana na ulichokianza. Katoe mahali mkuu
 
Kwanza kabisa ulikosea kwa kumfanya mwana wa watu mkeo kabla ya idhini ya wazazi wake, pili ulikosea na kuonesha dharau kama baba mkwe analivyosema, haiwezekani binti ameenda kwao tangu akiwa na miezi minne mpaka anajifungua na akzidisha miezi sita zaidi na wewe hujaenda kwao, binti karudi tena kwako mumekaa mpaka umetokea msiba kwao na bado akaenda peke yake. Umekosea sasa kamanda! Kuhusu mzee kudai mahari kubwa kuliko uhalisia hapo anakosea lakini yupo ndani ya haki yake ikiwa mila zao zinaruhusu.

Ikiwa kweli ulimpenda huyo binti acha upumbavu, tafuta milioni nne lipa funga ndoa maisha yaendelee. Na hata kama huna hiyo pesa omba kulipa nusu funga ndoa!

Hili pia ni somo kwa mabinti, ni wazi huyu kijana anaipenda milioni yake nne zaidi kuliko mzazi mwenzake. Ila yote haya angeweza kuyakabili vizuri huyu binti kama asingejikabidhi kwa kijana kama mke kabla ya muda wake. Kwanini mnarudi kwa wazee ikiwa nyie mlidhani mnajitosha kuishi kinyumba???
 
Pole best. Mke anakupenda Kwa dhati nadhani mpende pia. Wazazi wake fanya kuwasamehe lakini usiende tena kigoma. Mwisho funga ndoa harali ikibidi bila hata wazazi wake kuwepo ili likitokea la kutokea uwe on safe place
MLETA MADA ISHI HAPA.
 
Mbona Waha hatuko hivo
Namaranyingi kwetu mtu akija kama wewe hivo hua tunawapa heshima kubwa sana itakua huyo Mzee majirani walimchezea kiimani..
 
Piga chini ila kijanja.

Hapo kuna kila dalili kuwa baba mkwe ni fundi. Sasa akikutikisa dishi Je?

Ndoa ni zaidi ya mke na mme
 
K
Kwa nini unamuona huyo jamaa ndiye mchafuzi na siyo binti ambaye alikuwa akizifahamu vyema taratibu na mila za nyumbani kwao?
 
Mfano wewe mtoto wako azalishwe bila ndoa itafurahia ? Na aje kuishi na mwanaume bila kumjua na aje kwako kujitambulisha na vizawadi vya kuwadanganya kama watoto au familia yenye dhiki sana.
Kama binti ndiye katoa ombi la kuzalishwa kinachokukasirisha ni nini?
Wewe wape baraka waendelee kujenga familia yao kwa kuzingatia kwamba binti siyo mwanafunzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…