Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huo huo, wimbo wa hovyo sanaAmeyatimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo huo, wimbo wa hovyo sanaAmeyatimba
Nimetokea kuuchukia sana huu wimbo
Alitaka kunichukulia poaa...😄😄Ameyatimba
Hamna wimbo paleHuo huo, wimbo wa hovyo sana
Basi sawa, tutaimba za kuhamasisha ujamaa na kujitegemea.
Na kwa unafiki watalaumiwa wazungu !Miziki ya kibongo yote sahivi
Ina hamasisha watu watmbn na kf#ln tu
Ova
Boss akeeee! Niseme nini mie☺️
SanaBongo kuna miziki ya hovyo sana inayochukuliwa poa tu
Wasanii wa Bongo,wana mtindio wa ubongoNimetokea kuuchukia sana huu wimbo😡😡
Huu wimbo umehusika kuchochea maovu na huenda utazidi kuleta maovu mengine mazito .
Kila ninapousikia huwa nahisi namuona yule binti akiomba maji..
Akiomba maji umpe bro.....
Wengi wao hata sio wasanii, hakuna talent, ni wahuni tu wameokotana mtaani kwa sababu ya ukosefu wa ajira nyingine nzuri.Wasanii wa Bongo,wana mtindio wa ubongo
Hawajui wanachoimba athari zake kwa jamii
oya.. kautaka mwenyewe wahuni tunamega😭😭Mtoto kautaka