Nimetokea kumkubali Abdallah Ulega bila sababu

Nimetokea kumkubali Abdallah Ulega bila sababu

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Sio kisiasa mana sifatilii siasa, ilitokea tu naangalia tv, nikaona taarifa ya habari akiongea. Instantly nikatokea kumkubali tu, nikawa na mu admire.

Ushawahi mu “ admire “ mtu for no clear reason?
 
inatokea sana hata mimi nilikua nampenda sana Jini Kabula

kila nikimuona kwenye lile igizo yani i feel so into her
 
Nenda Akakutombre
Sio kisiasa mana sifatilii siasa, ilitokea tu naangalia tv, nikaona taarifa ya habari akiongea. Instantly nikatokea kumkubali tu, nikawa na mu admire.

Ushawahi mu “ admire “ mtu for no clear reason?n
 
Inaeezekana kweli? Kwa mwanaume kumkubali mwanaume mwenzie for no reason?
 
ni kama mm nlivokua nampenda sana sana sana sana chidnma wa nigeria dah
 
Sio kisiasa mana sifatilii siasa, ilitokea tu naangalia tv, nikaona taarifa ya habari akiongea. Instantly nikatokea kumkubali tu, nikawa na mu admire.

Ushawahi mu “ admire “ mtu for no clear reason?
Nenda kapime urijali wako. Kuna dalili za kuwa waweza kuwa siyo riziki
 
Back
Top Bottom