ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 922
- 1,804
Guys
Serious speaking nimetokea kumpenda sana huyu Miss Natafuta.. Miss Natafuta please I love you so much baby..kila nikitaka kuingia JF naona namfikiria Miss. Nikiona comment yake makinikia inaanza mitetemo nikiona post yake walai sisemi. Mm mkulima tu ningekuwa na uwezo ningekutafuta Miss.
Sijui ni matatizo yangu au nn...kuna siku nimeota nakutana na binti wa makamo kidogo nikamtongoza nikamuuliza unaitwa nani kasema Miss Natafuta nilifurahi sana..akinipa na nanii hii nanii yaaani naamka boxer imeloa upande.
Hali hii inajirudiarudia sana nikaamua leo nifunguke tu
Popote ulipo Miss Natafuta ujue kuwa nakupenda sana sweet baby..
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Serious speaking nimetokea kumpenda sana huyu Miss Natafuta.. Miss Natafuta please I love you so much baby..kila nikitaka kuingia JF naona namfikiria Miss. Nikiona comment yake makinikia inaanza mitetemo nikiona post yake walai sisemi. Mm mkulima tu ningekuwa na uwezo ningekutafuta Miss.
Sijui ni matatizo yangu au nn...kuna siku nimeota nakutana na binti wa makamo kidogo nikamtongoza nikamuuliza unaitwa nani kasema Miss Natafuta nilifurahi sana..akinipa na nanii hii nanii yaaani naamka boxer imeloa upande.
Hali hii inajirudiarudia sana nikaamua leo nifunguke tu
Popote ulipo Miss Natafuta ujue kuwa nakupenda sana sweet baby..
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app