Nimetokea Oman kwa Mjomba na nimeshukia Kwanza Zanzibar niwape Salamu za Mjomba kisha nikapige Kazi kwa Wagogo na Wazaramo

Na umeenda umra maaachallah, wakisikia watajickiaje hawa waliokukalia kooni!!! Huu ugonjwa mmbaya sana aise
 
Na safari hii nimeamua kutumia Ndege yangu Mwenyewe Maalum Kusafiria kwani nimeshachoka na Kelele zenu.
Wakati mlipohamishia Ikulu Chato tulikaa kimya, sasa mkae kitako kwa kutulia.

Mama mitano tena hadi 2030 plus mitano ya shukrani mpaka 2035.

Hakuna Rais asiyekuwa na kwao na bajeti ya Mwigulu Nchemba kama hajatenga fungu la ujenzi wa ikulu Makunduchi hiyo bajeti ni batili, hatutaki mambo ya ubaguzi, mama naye atendewe kama Marais waliopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…